Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mkonga wa taifa umesambaa kiasi gani?. Na ufanisi wake ukoje jamani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi, kamera yangu digital aina ya Sony imedondoka, lens ikiwa imefunguka katika standby mode. Inagoma kurudisha lens ndani kwa kuwa imepinda. Kwa anayejua fundi mzuri na mwaminifu wa...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
natumia nokia 6120c,nna wiki sasa inagoma kusoma memory card,inasema file corupted ,nimebadili memory card zaidi ya 2 lakn wapi.ukiweka mpya inasoma baada ya kama lisaa limoja inagoma inasema file...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Wakuu kuna website inajitokeza kila napotaka kufungua Facebook na yenyewe kuingilia kati na kujifungua Naombeni msaada wenu plz kwani nakereka sana. mtandao wnyw unaojitokeza ni CAMOLIST.COM
0 Reactions
1 Replies
765 Views
jamani kwa anaefahamu link ya ku download software ya CoolNovo uswebproxy kwa kifupi ukishadownload unaweza tumia internet bure kama kuna masahihisho mnakaribishwa cha muhimu nipate iyo kitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ninatumia hiyo simu (BLACKBERRY STORM 9530) jana (11 april 2012) nilijiunga na data plan ya mwezi wakaniunganisha na kunitumia process za kuregista ili nitumie.. that niende MENU-OPTION-ADVANCED...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada ni software gani nzuri inayotumika kaktika screen recording hasa katika hizi tuitorials za program mbalimbali natanguliza....
0 Reactions
2 Replies
952 Views
habari zenu wanajf, mwenye serial keys za windows 7 Professional naomba anisaidie waungwana. Natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Nimeinstall application inaitwa signsis kwenye simu, kuna sehemu inahitaji kujaza/attach key, cert na sis nikitaka ku sign application ya helloox sa na nimejaribu kwa njia ya PC kwa kutumia...
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Wakuu, kuna madai niliyoelezwa na dereva tax mmoja kuwa, et ukiwa unaendesha gari spidi zaidi ya inayotakiwa mahali fulani (mfano 30km/hr) na ghafla ukawaona Askari Usalama barabarani (Traffic)...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Blackberry torch iko used lakini good condition kwa 500,000tsh/= Ps3 slim!! nayo ni new, ina cd zake 3 original au 10 ya ku install ndani ya ps.... only 650,000tsh/= Ni PM ama nipigie at...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
wadau hebu tafu nataka kudownload fifa 2012 mwenye detail zozote anipe wadau
0 Reactions
1 Replies
344 Views
New!New! Special hospital modules available now [TUNAENDELEA KUWALETEA VITU VIPYA KILA INAPOWEZEKANA] >>System Manual OS: Platform Independent (MAC, WINDOWS, LINUX, etc)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
daaa mambo vp wadau hivi mnaweza kunisaidia kupata site ambazo naweza ku download muvi kali za kihindi ambazo zina subtitle..,ni hayo tu wadau plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nimetafuta proxy mpaka basi maana zile 2lizopata kwa wadau nyingi zimeshaleta dosari za limitations na nyingine zimefungwa kabisa. Nawaombeni kama mna proxy nyingine mtumwagie hapa Jamvini.
0 Reactions
34 Replies
610K Views
Ni unlock codes za Huawei MODEM Model E153U-1 IMEI 869604001813178. Natanguliza shukran kwenu.
0 Reactions
1 Replies
917 Views
Kwa mwenye Data Recovery software naomba msaada please!!
0 Reactions
9 Replies
806 Views
wakuu tokea jana kila nikijaribu kubrowse kwa kutumia ile neti yetu ya bure kutoka voda ,ina nitolea mbavuni au ndo washatupiga pini ! Maana you tube video hazichezi hata page ya jamii forum...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau wa jamvi hili leo nimekuja ili tushare knowledge zetu kuhusiana na web hosting. Katika mada hii ningependa tuongelee zaidi kuhusu tools and equipment zinazohitajika inorder to become a web...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
As usual mtazamaji is not the greatest tech guru in town but likes to share some tips/tricks and knowleddge about ICT..... Badaa ya mkwara wa kuanza kwa kimombo nirejee kutumia lugha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom