Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wadau naomba maelekezo jinsi ya kuunga internet kwenye ideos na jinsi ya connect bluetooth
0 Reactions
2 Replies
707 Views
habari jf, Napenda tu kupata mawazo kutoka kwa wataalamu wa kutengeneza website wanaonaje muonekano na mpangilio wa website hii?: http://maajabuyamaji.net/ Haya tena ma-great thinkers, baada ya...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Ni siku 2 sasa kila ikifika jioni mtandao wa Jamii Forum unakumbwa na hii k2 je? Nini naomba wataalam watujuze
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Mwenye hii kitu anisaidie wakuu nimetafuta free download nimeshindwa.hata ninayopata ni 1.4GB na yenyewe ni 30 days trial mwenye nayo anisaidie kupitia qq.com@hotmail.co.uk
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada wakuu. Hii browser iko poa sana, ila kuna issue inanitatiza kidogo. Kwenye ile version ya mwanzo nilikuwa naweza ku-save page kupitia: Options>Tools>Save Page. Kama kuna mtu anaejua namna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana JF mm sina uzoefu wa kutosha juu ya hizi printer.........ilka nataka kununua printer yenye uwezo wa ku-print passport size, karatasi kwa rangi zote coloured na coloures. so nahitaji kujua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna scam inatumwa via e-mail na kuweka jina lako kamili inayoahidi mapesa kiasi cha $5,000 kila siku baada ya wewe kutuma "Registration/Clearance fees" kama kawaida hii ni ya kuitupa in the...
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Habari wanaJF? jamani mi naomba mwenye uelewa kuhusu package,bei,channels for each package anijuze tafadhali...!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Selling my old first generation xbox live. Lens need to be cleaned.. If u are interested its for 100,000tsh 1 Xbox original pad 2 Xbox original games Power chords and Standard AV cables...
0 Reactions
1 Replies
697 Views
wakuu msaada kwa mtu anayefahmu jinsi yakuconfigure ActiveSync ambayo ipo kwenye hii simu. nahitaj kuzi sync contatcs zangu
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Jamani naombeni msaada wenu, mm natumia king'amuzi cha Star Times, but kwa sasa sipati picha (Video) za Citizen TV, ninachokipata ni sauti (audio) tuuu....so help out great thinkers????
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi...
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Kama kuna mtu anaejua websites za ku download movie free na maelekezo yake atpie hapa jamani ila ni kupitia proxy mazee ukiona una maujnja mengine lets share
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Kila ninapojaribu kufumgua Email yangu ya Yahoo ili kusoma mails & mambo mengine naambiwa: Error encountere! Error encountered processing your last request! Encontered Internal Server Error...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hivi wakuu tatizo linaweza kuwa nini hapo?
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Hivi huu mkonga wa taifa umeshaanza kufanya kazi? Habari za mitaani ni kuwa unafanya kazi kupitia TCCL, kama habari hizo ni za kweli, basi mkonga wetu wa taifa la tanzania umechakachuliawa.kwani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman nina kalaptop kapya nimenunua Dell latitude E5520 betri yake inaonesha kuwa inatunza sana charge ila nilikuwa nina ka Hp fulan betri ikafa hivyo naombeni mnijuze namna gani naweza tunza...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
ofisi yangu iko mwanza mjini, tumeunganisha static broadband access network ya tccl(kupitia wire) kwa karibu miezi 2. niliyegemea kwakuwa tccl ina mkongo wa taifa na hivyo basi kwa kujiunga nao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau mnaotumia airtel, hebu niambieni kuhusu spidi ya huu mtandao kwenye neti, maana mimi niliukimbia nikaenda voda ila naona voda wameanza kuwa kimeo. Leo nimeweka laini ya airtel na naona ina...
0 Reactions
2 Replies
945 Views
nahitaji hii programme lakini hawa jamaa wanadai huwezi kuitumia bila kulipia nifanyeje inatumika kwenye animation za picha katika blogs,website nk au mwenye nzuri zaidi naomba zile za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom