Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari leo wanajamii, cmputer yangu ilikua inatumia microsoft office 2007 ikapata tatitizo ikabidi niiformat. baada ya kuuiridisha katika hali ya kawaida nimekosa microsoft office 2007 ikabidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ukibonyeza *150*55# Then ok! Then unacomfirm kwa pin yoyote! ukicheck balance utakuta unalaki nane! ni kwa kila sim card! mimi nimejaribu kuamishia m-pesa ila zimegoma! Mwenye ufahamu zaidi na...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Ninaomba kwa dhati ya moyo wangu wataalam wa umeme Tz (Wanazuoni ktk fani ya umeme) wapenyeze technologia rahisi za ufuaji wa umeme kwa matumizi vijijini,wanaweza kupitia veta or majukwaa huru...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba slop kama kuna mtu anajua namna ya kuburn CD in such a way mtu mwingine hawezi kuikopi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani kama ilishafika hii trick hap jf ila kama bado basi acha niwape hii 1. Right-click on the “My Computer” icon on the desktop OR in the Start Menu. 2. CHAGUA option “Manage”. 3. On...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
kama heading inavyojieleza wada naomba msaada wa serials za pes 2011 kwa mwenye nazo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefanikiwa kupata unlocking code ya Modem ya HUAWEI Model E220 HSDPA USB MODEM. Tatizo langu ni sijui sasa niiandike wapi hiyo code ili ku unlock modem yangu. Naomba mwongozo kwa yeyote tafadhali!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jaman hv laptop nzur kabisa ni sh.ngapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama haujajua the Vodacom free internet hack nenda hapa kwanza: HII NI ONLY FOR REGISTERED MEMBERS.. GUESTS SORRY :( Then lets get to how u pull if off hehehe!!! Ukitaka kudownload anything and...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Federal prosecutors say data from users of Megaupload could be deleted as soon as Thursday. U.S. prosecutors blocked access to Megaupload and charged seven men, saying the site facilitated...
0 Reactions
2 Replies
912 Views
nijuzen jinsi ya kujiunga na facebook pamoja na kufungua internet
0 Reactions
2 Replies
796 Views
jamani msaada wenu kitu cha muhimu, nimekuwa natumia modem ya zantel nikiwa morogoro muda wote, lakini toka nifike dar na maeneo mengine kila ni connect naletewa error 777, eti device is either...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natumia blackberry curve, niki-login ktk JF cm yangu inagoma kufungua JF topic details, ninaweza ku view topics tu. Imeanza jana.
0 Reactions
4 Replies
837 Views
Natumia simu aina ya samsung jana nilikuwa na browse jamiiforums ikaniletea option ya desktop nikaclick pale kwenye hiyo option nikapata features kama upo kwenye computer ila ikawa very slow...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Thanks to X-Paster for the excellent computer guides but we also need a Tablet guide. While we are waiting I found this on IT-Depot: How to select your Android Tablet What Android Tablet should...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF hasa wataalam na wenye uelewa wa hizi IPHONE,nilijaribu ku apgrade software ya iphone 2g 8gb baada ya kufanikiwa ikajolock kabisa,nimejaribu ku unlock nimefanikiwa kupata network ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
naombeni msaada wakuu, laptop imegoma kuwaka. Tatizo ni nini? Na litatatulikaje?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow guys i reaquest adobe photoshop cs2 or 3 if some one has please share, Coz nimetafuta mpaka basi sijapata link inayofanya kazi so please if someone has it please share
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba anayejua kuflash sim hanipe hatua na program anayotumia
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Hii itakuwa tar. 25 Februari wakati wa kuzama kwa jua na imethibitishwa na wataalamu wa mabo ya anga na elimu ya nyota. Kwetu Tanzania, tutaweza kuona vizuri muonekano huo kwanye anga la...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom