Jamani, nina Blackberry na ilikuwa inashika Net kama kawa bila kwenda Tigo kwa ajili ya kulipia ile ya 7000.
Lakini nashangaa juzi imeshindwa kubrowser, nimejaribu kujiunga zaidi lakini...
Naomba mnisaidie,kwa anayejua namna ya kutoa au kurecovr my memorcard paswod..ilikuwepo but sasa nimesahau ,so nashindwa kutumia,mfano:kuweka kwa simu nyingine,hata kuhamishia chochote from...
Wakuu kuna laptop ni mpya sasa nimeiweka window 7 lakini imekataa kuunganisha internet. comp yenyewe ni
ACER ASPIRE 5336. nimetumia moderm internet inaunga fresh ina nikitumia cable inakataa...
wadau eeh,hebu mwenye maujanja haya naomba anielekeze,nasikia eti hizi receiver za kawaida unaweza kufanya michezo ukaunganisha na dish na computer then uka-access net for free,unafanyaje sasa?
Dear Ethinkers
Resonate Consulting Group LTD has organized an intensive CISA review course at a very reasonable and affordable cost for candidates, who would like to sit CISA exam in June 2012...
Mkuu asante sana kwa kunifumbua macho. tangia uweke ile thread yako jmos usiku hadi leo natumia internet bure kwenye simu kupitia tigo.
Nilichofanya kwenye setting za internet;
:proxy...
hey wana jf
Najua kuna watu wanapata shida hasa wanaotumia simu kufungua hizi kampuni za shorten url baada ya kuwa forced ku open ads huku wanaekewa sekunde za kusubiri.
Na kama mnavojua...
Ninatumia google chrome na internet explorer. Nimeongeza safari na opera, lakini ninapojaribu kuzitumia(opera na safari), zinashindwa kuunganisha mtandao na zineleta sms kwamba an error has...
Hbr wana Jf popote mlipo! Tangu jana hii mitandao miwili imewaweka watu ktk wakati mgumu sana. Maana unaweza kupokea simu kwa muda mchache baada ya hapo hali inakuwa ngumu kana kwamba huna salio...
Ninatumia windows 7 32 bit, nimepata AE cs5.5, tatizo ni 64 bit, kuna mtu anaweza kunisaidia nifanyeje ili iweze kuwa installed katika 32 bit yangu? Kama haiwezekani, ntaipata ya 32 bit? Kama...
Wadau anaejua jinsi ya kufanya muvi uiangalie huku ikionyesha sub-title ashushe darasa maana wengine kizungu tunaokoteza bila sub-title hakuna mzuka..kama vipi maujanja yanahitajika..
Naam wana jf teknical forum hope mambo muswano. .
Siku za karibuni nimekua naona mabandiko na matatizo ya watu mbali mbali kuhusu madereva(Drivers ) wa computer na laptop zao. Ni sababu hiyo...
nina pc yangu,naweza kuiwasha na kufanya kazi,kama kawaida ila cha ajabu inazimika gafla tu!na kuanza tena inafikia hadi neno window xp linaonekana tena inazima inaanza tena,inaweza ikachukua hata...
Kwa kweli hizi smart phones zinapoteza kabisa internet cafe, kwa maana imefikia hatua kila kitu mtu unafanya kwa kiganja chako, hata moderm sasa zitakosa soko sasa. Mtu akienda cafe ujue anafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.