These Internet users in a cyber-café may not be aware but they are exposed to cyber-crime that is now spreading to the mobile phone. A one-day seminar, with theme Successful Banking Systems...
Wadau mwenye kufahamu anaeuza projector kwa bei nzuri anitaarifu. pia kama unajua maduka zinakopatikana naomba unijulishe na bei zake please. no. 0715602000, 0767602000.
Nina laptop DELL Vostro ambayo ina windows 7, namimi nilikuwa nataka kuitoa windows 7 niweke windows xp lakini inagoma kuload windows xp
Naomba mnisaidie nifanyeje ili niweze ku load windows xp?
niaje wakuu wa kazi naombeni ufafanuzi kuhusu whatsapp inaweza kukubali kwenye nokia 6300?
maana nimejaribu kudownload imekaa labda kuna yeyote ambaye alishajaribu kuidownload kwenye hiyo simu...
Wana wa familia ya JF mambo vipi??
Tafadhalini naomba msaada kwa wanaofahamu Satellite/Frequency/na Symborate za hii chaneli ya AD Sports inaonyesha ligi ya uingereza live tena bure na WWE live...
wadau me nimenunua laptop dell inspiron haikuwa na window nikaiweka window7 ultimate........ nikitaka kuitoa haitoki..... na kuiactvate mpaka uwe na product key so kuna mtu ana pruduct key za...
Wimbo wa Dini umeibwa na wasanii wa Nigeria unamaneno kama haya " god is gooder, everything double double, money double double, promotion double double.
na ule unaoimba I will search you in face...
i have been using airtel to subscribe bundle for internet, neva tried tigo or voda, need some ideas from you members which is the best amng them three in economising and using it to the fullest...
jamani simu yangu nokia n70 inanichanganya sana maana siwezi kuandika wala kusave message,inaleta ujumbe memory low delete some data first,cha ajabu nimeshafuta vitu vingi sana lakini bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.