Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nenda nokiarock.Com then ingia kwenye software utaclick on new software then utaiona sor jamani natumia cmu nimeshndwa weka link lakn ukifata maelekezo utaipata
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza natanguliza shukran zangu nakuwatakia HAPPY NEW YEAR wanajamvi woote wa forum hii. Shida yangu nilikuwa naomba kwa yeyote anaye kumbuka kuna thread ilianzishwa hapa ili husu juu ya...
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Unapoingia ndani ya chumba chenye giza,kisha ukabonyeza swichi ili kuwasha taa,je giza linakwenda wapi?. Au unapokuwa ndani ya chumba chenye mwanga wakati wa usiku halafu ukabonyeza swichi kuzima...
3 Reactions
66 Replies
17K Views
Wakuu nillifanya instalation ya hiyo window yapata mwezi sasa,lakini wakati nafanya hivyo nikiwa na original cd key yake kutoka kwenye cd hiyo ambayo ni ProductKey =...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ZTE Modem ya Voda K3571-Z kila niki apply inakubali,ukifungua tu browser inakata.Nina 3G ya Voda lakin inagoma kuunganisha. Ukiifungua inakuja ile nyekundu ya Voda. Na ukifungua 3g pekee inagoma...
0 Reactions
0 Replies
617 Views
How to extend your smartphone’s battery life By Tecca | Today in Tech - Fri, Dec 23, 2011 No matter what type of smartphone you have, the device can serve as your MP3 player, digital camera...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Nna computer ina sehemu ya kuingiza lain so nifanyaje ili niweze kuitumiaa. Computer ni dell
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Wadau kuna habari zozote kuhusu ofa mpya za internet toka Airtel ? majuzi walitutumia sms kusitisha ile ofa yao ya internet MB 200 za bure kuanzia saa 6 usiku wakisema wanaleta ofa kabambe kwa...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Habari wakuu, Tafadhali kama yupo mtu anaulewa juu ya kubadili hizo ac hapo juu naomba msaada maana kuna mambo mengi nashidwa kufanya kama yupo please naomba msaada natumia windows xp.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf naomba msaada wa kuunganisha simu yangu, niliponunua simu hii nimeikuta ikiwa na opera 4 ambayo naitumia kuingia kwenye mtandao, ss shida niliyonayo ni pale ninapotaka kudownload kitu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana jf Naomba msaa wa kuondoa tatizo laptop imenigome. Nilikuwa nafanya installation ya antivirus ya avast nilipomaliza ilinitaka nireboot ili ifanye sytm scaning, niliclick ok lakini...
0 Reactions
3 Replies
951 Views
Habari za asubuhi wanajf. Waungwana, naweza pata soft ware ya kuhifadhi mafile ya aina mbalimbali ktk mfumo mzuri na easily accessed and managed.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Does anyone has any idea on how to unlock tiGo modems nowadays? Nlikuwa naweza kuzi-unlock zamani lakina sikuhizi hata ukiweka line nyingine, ile box kwa ajili ya kuingiza unlock code haiji; au...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani please anybody who knows how to unlock hizi modem za sasa za tigo, imekuwa proble tofauti na za mara ya kwanza
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wanna make some cash? Kuna website ambayo inakuwezesha kumake money online. Iko kama facebook flani ila a bit different. Unachotakiwa kufanya ni kupata 100 points tu na utalipwa 120 $(usd)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ningependa kuuliza kama kuna yeyote ambaye bado ameweza kupata access ya free internet ya saa 5 usiku maana kwa siku kazaa imenikatalia sasa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam wanajf,mimi napenda sana macomputer,natamani sana kusomea na kufanya kazi kwenye macomputer,nishaurini kozi nzuri na chuo kizuri naweza somea.nipo Arusha.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wadau nna shida wapi naweza pata free to air MPEG 4 receiver na kwa kiasi gani? Itapendeza sana kama itakuwa Mikoa ya Dar au arusha au Kilimanjaro!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wananchi nimepata bonge la software ambayo inaweza kufuta na kubadilisha password ya windows yoyote...and can be downloaded for free!!.. chakufanya download hilo file ambalo ni file la ISO...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom