Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari zenu. naomba mnisaidie maana kwa mara kadhaa pc yangu yenye os ya win xp inaniambia low disk space kwenye drive partion yenye windows files yenye ukubwa wa 48gb...inanishangaza maana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
natafuta external dvd rom hata isiwe writable ya samsung,asus,toshiba etc itakayo tumika kwenye laptop dell insp 6000 baada ya ile original kuharibika,nitafurahi kama wadau mtanijuza wapi nitapata...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Kwa mujibu wa ripoti ya TCRA iliyotoewa hivi karibuni, kati ya Watanzania milioni 42, watu milioni 5 tuu ndio watumiaji wa internet. Ripoti inaonyesha kuwa mwaka 2005, watu milioni 1.6 walikuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
website nzuri ya ku download movies buree
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Web nzuri ya ku download moviez free plz
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Zantel wametoa simu wanaziuza ila ni za laini moja tu, ya kwao. Mwenye ujuzi na software ya kuzichakachua zitumie laini zote au anayejua hua nini kinafanyika tupeane maujuzi. Aina ya simu ni ZTE
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wenu ni muhimu sana katika hili. Nimenunua simu aina ya NOKIA E5. Nimejiunga na huduma za internet ili dunia iwe ktk kiganja changu. Cha ajabu ni kuwa kila nikitaka ku-surf ina-appear...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
naomba msaada wa code za kufomart nokia 7310
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Huwa inatokea natumia laptop feni inazupiga sana kelele inaonekana inakuwa inazunguka sana hv ni kutokana nin na uzima wa mashine hii upo kweli?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
It is shameful for such a lucrative ministry to fail in maintaining the website. When you want to visit it Account Suspended Anyhow that is the way it is.
0 Reactions
0 Replies
704 Views
wapendwa wa jukwaa hili nawatakia HERI YA MWAKA MPYA. Kuna kitu nataka kudowmload ktk laptop yangu lakini naambiwa hadi niwe na windows 7,vista,or xpl. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,mim sina...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi jf members. Naombeni unlock keys ya modem yangu ya voda Huawei IMEI 353284023283420.Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujuzwa ni mambo yapi yanahitajika katika comp(laptop) na ni simu yenye vigezo gani inahitajika ili niweze kukonect internet ya simu katika comp na je hiyo operation baada ya kukonect...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wireless internet ya chuo iko limited, baadhi ya site kama YouTube na nyingine za streaming video kama Al Jazeera, MSNBC n.k hazifunguki. Nimejaribu kutumia unblocker za kupaste web zinakataa!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani mwenye registration keys za Microsoft office 2007 home and student version, tafadhari anisaidie maana nimekwama na ninahitaji kuendelea na kazi, natanguliza shukrani kwenu na Mungu...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
NAOMBA MSAADA WA UTAALAM: jamani naomba msaada wa unlock code ya simu aina ya Nokia 6070.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wajameni nisaidieni wajuzi nimingia mkenge au? nimeinunua Blackberry 1800 nikaambiwa original nimetafuta mtandao wa Internet bado unagoma eti nawajibika kulipia 35,000/= kwa mwezi kupitia vodacom...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa kupata camera software ya kuniwezesha kupiga picha kwa kutumia camera ya laptop, natumia DELL INSPIRON. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Computer hackers published details of thousands of active Israeli credit cards after breaking into Israeli websites. JERUSALEM: Computer hackers published details of thousands of active...
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Jama kwa waliopitia hii game nimeipenda inahitaji control ya ziada kwenda nayo isipokuwa ukifika stage ya 13 ile moter cycle inakuwa inafly hewan technically na haiend mbele vp hapo panahitaj...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom