Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau naombeni msaada wenu..kila nikijaribu ku connect nokia yangu ya 6233 kwenye pc kwa kutumia bluetooth inaenda mpaka kwenye kuingiza passcode ila nikishaingiza inaleta hiyo message hapo juu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba ufafanuzi. Iwapo natumia desktop au laptop yenye let's say HDD 40GB, RAM 512 GHz, na processor <1BG, je nikiweka let's say HDD 320BG, 3GB RAM na processor 2GB, itakuwa na performance...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari zenu wanaJF. nilichukua NOKIA N900, siku kadhaa zilizopita. Ila kwa sasa nikitaka kuingia ovi store au ku'update inaniletea hii message "NOKIA MESSEGING PASSWORD. This is password the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Virusi za Kompyuta ni programu haramu yenye uwezo wa kujisambaa ndani ya kompyuta na kujiingiza ndani ya programu halali zinazotakiwa kufanya kazi mle. Ikisambaa inaathiri programu halali na...
3 Reactions
9 Replies
7K Views
BOFYA HII LINK = ATDHE Watch Live Sports Football Nba Tennis ATDHE.Net then chagua mechi unayotaka kuangalia. muda huu napost hii kitu niko live naangalia MANU VS NEWCASTLE. REQUEREMENTS...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu haka kaantivirus kanaonekana ni kazuri, nimekadownload kwenye torrent mara mbili ila keys zinazoambatana na program nikijaribu kuziingiza isema invalid user name or serial number...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Jaman n vp naweza kupata internet kwenye BB yangu bila kutumia monthly package.
0 Reactions
1 Replies
877 Views
Washkaji kuna njia nimeipata ya kutengeneza mshiko chap chap sema niko kwenye testing bado coz unamake cash through surveys and alafu ukifikisha minimum cashout ambayo apo ni 50$ unaweza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Helow JF Nikama muvi lakini ni kweli...samsung mobile tracker inafanya kazi kweli kweli. ok, jana mida ya saa 5:07pm shemeji yenu alichomolewa simu pale buguruni sokoni na pesa kadhaa..mimi bila...
20 Reactions
80 Replies
8K Views
Wakuu naombeni msaada wa jinsi ya kutrack iphone yangu imeibiwa lisaa limoja lililopita,tayari haipatikani.mwenye kujua tafadhali naomba anisaidie
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa mtu yeyote mwenye uzoefu au ujuzi au pengine ni Telecom engineer/Technician wa Airtel. Naomba kujua kama ninaweza kutumia Modem ya UMTS (Universal Mobile Telecommunications System) kupata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wataalamu hamjambo?JE,C omputer Pentium 2,inaweza kuwekewa hdd ya 40gb na ikakaa vizur?Ipi njia ya kuweka hiyo HDD?
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Owwwkey so I feel like bragging a bit 'cause I got me a real cool gadget today. Recently niliharibikiwa na simu pamoja na laptop yangu nikabaki kapa.Katika harakati za kutafuta simu na laptop...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa juu ya hii programme lakini nataka inayo-operate katika Window not mac Naomba pia ufafanuzi. Ukitazama studio nyingi za TV wakati wa news hasa Channel ten,Star tv na TBC wasomaji...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanajukwaa, salaam!!! Ni mwezi mmoja sasa tangu ninunue simu aina ya NOKIA E5-00 (brand new). Kwa bahati mbaya, kitabu cha maelekezo nilikipoteza. Tangu kununua simu hii nimekuwa nikijaribu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
naomba msaada mana sm yangu kwa sasa inagoma kufungua opera min ya 5.1.nimejalibu kudonwload nyingine ya 6.5 imekubali tatizo inagoma kudonwload.naomba msada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau hebu chungulieni hii website, mbona mie naona kama inauza iphones na ipads2 kwa bei rahisi sana! Ni wizi au bei zimeshuka? Discounts on Mobile - Buy it Now - Wall | Facebook
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni wapi ntapata dc 6v-24v car electrical tester.nipo Arusha
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Jamani,nani anajua wapi ninaweza kupata Macintosh computer used hapa dar.Na kwa bei gani.Nitashuluru.
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Kwa kutambua kuwa JF ni google ya kila kitu kutokana na kukusanya Great Thinkers wa kila namna naomba msaada wa mwenye soft copy ya biblia ya kiebrania. Au japo link ya website yenye biblia ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom