Wakuu naomba msaada kwa install settings kwenye satellite dish aina ya Media com, zilikuwemo lakini zimefutika zote na sasa inaniandikia NO PROGRAM, yaani kuanzia setting za satellite
(Hotbird...
The MOAB is not just a bomb, but its a cyclogical weapons.The MOAB is a precision guided munition which uses global positioning technology to impact at the target location. Detonation of the...
Do u know the forces or can u explain what makes an aircraft to fly?
Application of Newton Third Law of Motion in Jet engine
Nondo zaidi.
So have u got the answer what makes an...
wakuu naona speed ya internet ya airtel imekuwa tishio hapa mjini. inafika hadi 5Mbps. inadownload mb 200 ndani ya dakika 9. kuna mwengine amepata kitu kama hicho au miye tu nina bahati...
Sina akaunti yeyote inayohusiana na mobile banking,kuna kijana kaniambia bonyeza *150*55# halafu piga kwa mitandao ya voda,tigo,airtell.
Baada ya kufanya hivyo ikaniambia niingize pin namba...
wakuu na wataalam wa ICT na hata wanaojua sheria sheria hasa zinahusu mambo ya ICT
Nependa kujua je sheria ya Tanzania inayataka makampuni ya simu yahifadhi mawasilino yetu kwa kwa muda...
Do you know the source of this technical interview questions list? I hope that there're suggestions.
1. Tell me about yourself
2. What are your greatest weaknesses?
3. Why are you leaving...
Natumaini mu wazima ndugu wana jf, nina tatizo ambalo linaniweka katika wakati mgumu sana,.
Nilikuwa natumia external hard disk yangu nimeiunganisha kwenye laptop, baada ya muda ikawa kama...
Habari gani wadau wa jf. Kuna options naiona wakati ninapo boot pc yangu inasema boot from usb. Hv unafanyaje.Coz niliwahi kusend file za cd kwenda ktk flash ikagoma
Wandugu JF ,
natafuta hiyo antivirus-NOD 32 Antivirus kwa ajili ya windows XP au windows 7 kwa haraka naweza kuipata wapi hapa DSM?
Naomba msaada.
Nawakilisha.
Rakey
VIEW CONTACTS LIST
READ TEXT MESSAGES (SMS)
VIEW CALLS MADE / CALLS RECIEVED
SET THE TARGET PHONE TO CALL YOU WHENEVER IT MAKES OR RECEIVES A CALL
VIEW PHOTOS
MANY MORE FUNCTIONS
Tembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.