Waungwana subheri !naomba msaada jinsi ya kuprint barua nyingi mfano 500 labda za kualika watu au kuwapa kazi zinakuwa na address tofauti ila content ni the same sasa nackia ni namna tuu
Nina ki C5-03(nokia) kangu, ambacho nimekijaza application mpaka kiko full sasa nataka ku-unistall ambazo sizitumii ili niweze kufanya mambo mengine lakini sioni option hiyo. Yeyote mwenye kujua...
Nimenunua toshiba netbook na nimegundua kuwa ina port ya kuingiza sim kadi na namna ya kuiinstall..ila sim cards zate nilizonazo nimekuwa zinapwaya katika hii port...kwa mwenye info jinsi ya...
kwa mahitaji yako ya pc games kama vile ; CALL OF DUTY BLACK OPS,CALL OF DUTY MODERN WARFARE,FIFA 11,FIFA 12,HALF LIFE 2,NFS HOT PURSUIT 2011,FREESTYLE FOOTBALL SOCCER,NFS MOST WANTED,NFS...
Last week niliomba ushauri juu ya laptop yangu inayopata sana moto ninapokuwa naitumia ikiwa connected kwenye ac power.
Wanajamii mlinishauri vitu vingi tu, nasema asante. Miongoni mwa mambo...
Hello wana JF especially watu wa jukwaa hili.
naomba kupata link ambayo nitaweza ku download ISO Image ya Laptop yangu Dell Latitude E6410, windows 7, 64 bit au 32 bit. hard drive yangu ili crash...
nina shida kidogo kuhusu drivers kadhaa za windows 7,je driver inayohusika na ku-display FN key baada ya formatting ni ipi?,na what drivers do you use kama ukitaka ku=update driver na hiyo driver...
Wadau laptop hii nilikuwa nayo mbali kwa mwezi mmoja hivi sasa nimeikuta imechafuka ina kama michirizi na vidot kama vya maji kuanzia kwnye kioo had hii housing yake JE INARUHUSIWA IFUTA KWA...
Apple CEO Steve Jobs gestures during his unveiling of the iPhone 4 at the Apple Worldwide Developers Conference
Steve Jobs sister Mona Simpson shared in the eulogy she delivered at the late...
Wanajamii, kuna mtu ameniletea receiver ya HUMAX kutoka kampuni ya ADMC Sport ambayo tayari imelipiwa mwaka mzima, lakini bado sijajua aina ya dish, satelite, frequency pamoja na direction Naomba...
mimi sasa naanza kuona side ya 2 ya hii kitu kuwa ni mbaya sana
Jamaaa yangu anasoma mambo ya ICT,kanieleza jinsi anavyoigia kwenye account za watu kila siku isue ni kujua tu email address yako...
nafanya installation ya window 7 ultimate kweny laptop aina ya HP Pavailion dv3 inamaliza vizuri mpaka mwisho ila pana tatizo moja graphics au maandishi yanakuwa makubwa inakuwa kama driver za vga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.