Nimetuma Ps3 Game moja kutoka ebay..lakini kwenye BOX sijaiona nadhani niende kuchukua wapi parcel??
kama Posta ipi? na pia ninayo tracking number.je nikiwapa tracking number watanisaidia...
Communication, Science and Technology minister Prof Makame Mbarawa ( picture below) yesterday launched a state-of-the-art communication and information technology centre, dubbed ‘TANZICT and...
Jamani mwenzenu kila nikijaribu kufungua accoun yng ya gmail kupitia google napata msg hiyo hapo chini lkn web zingine zinafunguka naomba msaadakwa wenye utaalam
This webpage is not availableThe...
Mimi ni kijana nina umri upatao miaka 20,ninasoma B.Sc IT nchini India ikiwa ndo semester yangu ya kwanza.Kuanzia nimefika chuoni nimekuwa na tatizo kubwa sana kwenye somo la programming na sio...
Wadau nani ameshatumia Universal moderm?
Nini tofauti yake na moderm nyingine (Yaani namaanisha kama nikiweka laini ya airtel na mwingine anatumia moderm ya airtel inatofauti?)?
Regards
Does Sasatel modem operate with other ISP SIM cards? kindly advise! i would like to cary only one modem while in different locations with strong/weak signals.
Nimeangalia remote control nyingi na simu za mkononi na kubaini kuwa kwenye kitufe cha namba 5 kuna kinundu kidogo. Nataka nielewe kazi yake ni nini au kina maana gani?.
Stuxnet-Like Virus Points to New Round of Cyber War
TEHRAN (FNA)- Internet security specialists have warned of a new round of cyber warfare in the form of a computer virus similar to the malicious...
WanaJF anomba ushauri ktk hili:
Lap top yangu ni aina ya HP Pavilion dm3. Inapata sana joto ninapokuwa natumia ikiwa connected kwenye umeme, zaidi ni pale nikitumia internet.
Na ikitokea hivi huwa...
Hey people,eti nitawezaje kupata service sijui ndio software ambayo unaweza uka record calls unazopiga na kupokea.Au ni lazima iwe automatic kwenye simu,msaada please.
Tupo ktk mchakato wa ku implement e-LMS. Framework tunayotumia ni .NET(ASP.NET). Tunaomba ushauri wa Open source e-LMS ambayo tunaweza ku-customize kulingana na development environment yetu.
Shukrani.
Nina shida katika computer yangu, natumia windows 7 na katika kugusa gusa nilijaribu wakati fulani ku edit user acc na toka wakati huo kila nikijaribu kufungua folders:- my computer, documents...
Wakuu samahani naombeni msaada waharaka computer yangu naambiwa window nayotumia siyo orginal! sasa nifanyeje? ninayotumia sasa ni windows 7 proffessional! ila wakati nanunua machine CD yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.