Wakuu naomba mnisaidie. Computer yangu juzi usiku ilizima ghafla wakati nikiitumia.
Ilikuwa hivi, nilikuwa natumia kutyp kazi yangu, nikataka kufungua file jingine ambalo nalo ni microsoft word...
habari zenu wana jf ninatatizo kuhusu card reader yangu ninayotumia kuingizia nyimbo kwenye simu hivi karibuni nikijaribu kuingiza nyimbo inaniambia Remove write protection so sijui tatizo ni...
Wadau nimeistall ubuntu 11.04 alongside windows 7, yaani siafanya patrition nimeinstall ubuntu ndani ya windows..imekubali na inaboot fresh nikiichagua wakati wa boot
naomba nisaidiwe namna ya...
kwa siku za karibuni nimekuwa na interest za graphics na animation. So kwa wale wanapeda kujifunza vitu kwa kujaribu practically wanaweza kujipa chllnge hii kwa kufuata maelekezo ya wataalam...
Asalaam wana T,G & S
kasimu kangu ka LG haka-play wala ku-upload video
mwenye ufaham site gani naweza nikapata intallation software kuwezesha viewing,playing, .....
Jamaani ndugu zangu nimefanya installation ya window seven 7,nimeazima kwa rafiki yangu baada ya kufanya hivyo imeniandkia kuwa window is not genuine,imeacha na kudisplay background ya window...
A huge step forward for the gay community.
... that a company which by some measures the largest and most important in the world is now being run by a gay man. Certainly when it comes to gay role...
Nina simu aina ya Nokia E65, mwanzoni ilikuwa inafunguka kama kawaida lakini sa hvi inagoma.. Nimejaribu kudownload nyingine, installation inakataa na kuandika "Unable to Install component built...
Nnayo CD ya Software ya Adobe Photoshop CS3 lakini sasa tatizo nimepoteza key zake please kama unazo au unaweza kunielekeza namna ya kuweza kuzipata key naomba msaada, sababu hata niki-browrse cd...
Binadamu katika masiha yetu kila siku Iwe ni maofisini au nyumbani , Iwe ni kwenye mahusiano ya mpenzi siasa, uchumi, michezo etc tunakutana na matatizo yanayohitaji kutatuliwa. Matatizo...
Wakuu wa Jamvi.
Mimi ni mteja mzuri sana wa Kampuni ya airtel.
Kwasababu ya shughuli zangu napendelea kujaza simu yangu airtime ya 100,000 mara nyingi.
Sina tabia sana ya kuangalia Salio...
Cracking the Coding Interview gives you the interview preparation you need to get the top software developer jobs. This book provides:
150 Programming Interview Questions and Solutions: From...
Jamani mie siyo mtaalamu kabisa wa mambo ya electronics ila nina tatizo kidogo naomba tusaidiane.LEO MCHANA nilikuwa mahali fulani halafu nikawaona jamaa wanabishana kuhusu hizi T.V za kisasa...
Wana jf ninampango wa kununua printer kwa ajili ya matumizi yangu binafsi ya kielimu, ila sina uzoefu!!! Kwa wazoefu, naombeni msaada wa ushauri ni printer gani ni nzuri ambayo inaweza kuscan na...
Let us discuss how these company makes money. I have tried to see but only google adword is the only thing I can see. From ICT perspective especially SE, how do they make money? And what can we...
Kwa kiswahili tunasema Dunia kama kijiji.. Neno hili limekuwa msemo sababau ya Internet na TEKNOHAMA. Mfano Leo hii unaweza
"kutembelea " yard ya magari liyopo japan au Dubai hku ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.