Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari zenu? Nimenunua hivi karibuni modem ya vodacom aina ya ZTE K3570-z. Nimefanya installation successful. Nikichomeka modem kwenye laptop yangu, inakua detected na network ipo vizuri...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hello guys,nowdays there is no need for buying a Playstation,Xbox,Gameboy Advance,PSP or Nintendo Wi.What you need is a powerful computer(laptop) and a right emulator which can be obtained from...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba anayejua jinsi ya kuomba confguration za internet internet kwa sim anipe maana nimepga huduma kwa wateja hata simu haipokelew
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wana jamii nisaidiene kama kuna any apdat ya software ya kuanilock modemu hizi pia kama kunamwajamii mwenye software ya Huawei modem unlocker 5.7.7 nimejaribu 5.81 nimeunlock temporary. :hail:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam Ndugu wana JF! Naomba msaada wa software ya kurecover data kutoka kwenye External Disc, Flash etc. Nimejaribu kudownload ''File Scavenger Version 3.2'' lakini nimeshindwa kuitumia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau mimi nimesoma java programming pamoja na c programming na sasa napiga php!kwenye java cko fresh kivile ila c afadhali!!sasa kuhusu mobile application naipenda sana!ila naomba ushauri wenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni msaada wakuu kama kuna mdau ana software ya Adobe Audition CS5.5 aniwekee hapa nidownload. Asante kwa msaada wako.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Haya wadau jiandae kupaa sasa na muondokane na foleni,sikuhizi barabara hazina maana na matrafiki watakufa njaa Tukae mkao wa kula, wanasayansi wanazidi kufanya mambo yao, sasa wanatuletea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF, Nimependa sana mchango wenu katika kuelimishana kuhusu mambo ya teknolojia,hasahasa katika kuchakachua modem Nina laptop yangu aina ya DELL PRECISION,inafanya kazi vizuri sana...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
laptop yangu window vista inachelewa ku-start up wakati ninapoi-switch on inachukua takribani dk mbili ndo on, naomba wadau mnijuze kuna tatizo au ndo window vista inavyofanya kazi ,naomba...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
WanaJF wenzangu pia watanzania wenzangu nimekaa nimefikiria sana hadi nikaona nililete hili mbele yenu ili tulijadili kwa pamoja maana naami palipo wengi hapaharibiki jambo. Hivi mfumo huu wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi karibuni, takribani miezi mitatu au zaidi, nimekuwa nikipokea e-mail kwa nyakati tofauti toka kwa watu mbalimbali ambao baadae nilikuja kugundua kwamba hawakuwa na maelezo ya ukweli kwangu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari JF, Naomba mnisadie jinsi ya kufanya,nikiconnect TV 40" as Monitor huwa haionyeshi full screen,inaonyesha inusu(Juu na chini,kama 28" ndo inaonekana) zisipati zote 40",Nimejaribu kuchange...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani dvd rom yangu imekufa haisomi chochote baada ya kuhangaika nayo sana. Nawezaje kufomati laptop yangu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau nimeshtushwa nilipoifungua website ya TCU usiku huu na kukuta message hii "HACKED....WEBSITE HACKED BY TAJINDER TECHNICAL RAINBOW THE GROUP OF INDIAN HACKERS BE AWARE FOR NEXT TIME. JAI...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Nearly two-thirds of online adults in the U.S. use social networking sites, and they're generally pleased with the experience, according to a new survey by the Pew Internet & American Life...
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Una iPHONE ya zamani ? (3g au 2g).. na kama huitumii.. Niuziye ! Ill buy it , if its working or with any major/minor fault to be mentioned before selling... PM me ..
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Habari zenu wanajamii forum,nahitaji msaada wenu ili nijue ni jinsi gani ntaweza kupata full access ya internet kwani hivi karibuni nimebaniwa access kwa kuwekewa Hotspot,yani nikitaka ku browse...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekwenda simba net jamaa wamenipa packages zifuatazo: bronze -500mb price: $250 per year gold - 1 GB price: $500 per year platinum - 2GB: price $900 per year nina laptop ambayo ina GB 200, je...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikitumia modem ya Zain kwa muda mrefu bila shida yoyote sasa leo nimeshindwa kuelewa kabisa! Yaani nimejaribu kufungua internet thru "Zain e-GO" ikanigomea kabisa!Modem ilikuwa kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom