Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Washika dau wangu nina ka huawei modem hapa e153 nimekachakachua mpaka zile 10 trial zikaiisha manake kalikua kanasumbua,hebu niambieni nini cha kufanya zaidi ni ka mtandao wa tigo,au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana wa jamvi naomba ushauri wenu kuhusu hili. Toka nikiwa mdogo ndoto zangu ni kumiliki kampuni ya uchapishaji, hasa katika kuchapa maandishi na picha kwenye fulana. Nilianza zamani sana nikiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau na hasa wataalam wa mambo ya graphics nimewai kuleta hoja hii kwa kuwa sikufanikiwa leo narudi tena tena kwa ushauri Katika kujifunza, kufanya na kujaribu mambo kwa vitendo napenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nashindwa kuelewa wameona nini mpaka kubadilisha hii bomba 7 ambayo naamini ilikuwa na wateja wengi tu...sasa imekuwa kero,,spidi ndogo, page hazifunguki ukiuliza eti "restart modem yako!!!""...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
jamani wakuu nimekutana na hii article about flashing a phone using only usb data cable and some few software nakaona niipost ili wale mafundi wetu uchwara wa mjini wasiendelee kutulia pesa zetu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
i need to update my drivers are way out f date, now i need an utillity that has its activation keys
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Hello wakuu! kwa yeyote mwenye serial Keys za Adobe CS 3.... Heshima mbele, lidumu jukwaa la Technolojia
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hi 2 all technologists and scientists bila kuwasahau wa zee wa {<html><body><font color="0000" size="3">programmers</font></body></html>} i just mean wazee wa lugha ya mashetan a.k.a...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Jamani mimi napenda sana mziki na nina ndoto za kuwa producer. Nimeanza nza tumia fl studio toka niko form3 mpaka saqsa niko chuo mwaka wa 3, lakini sijui kupga piano tan keyboard ile ya ukweli...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
hello friends, kwa yeyote anayeweza kunisaidia registration key ya time watcher plse nahitaji msaada wenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii naombeni msaada jinsi ya kuangalia encrypted chanels kwenye decoder yangu inayotumia antena ya kawaida.yenyewe inashika almost chaneli zote za ving'amuzi vya tanzania na...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Wakuu habari..... Naombeni msaada ninatumia hp dv5-2155dx ram 4gb processor intel i3 ambayo nimeinstall ubuntu 11.04 na windows 7 profession ktk partition tofauti. Tatizo ni kuwa kila nikiacces...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hello friends, kwa yeyote anayeweza kunisaidia registration key ya time watcher plse nahitaji msaada wenu<br><br>
0 Reactions
0 Replies
824 Views
hey guys nauza samsung wave two still new nimetumia kwa muda mfupi guarante 1 month if interested coll 0713619476 google it to see its specs.. Ni hayo tu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ApTiquant issued a press release claiming that it had invited 100,000 web users to take IQ tests and matched their results with the type of browser they used.It also supplied extensive research...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau kuna plan nafikilia kuja kufundisha masomo ya computer hasa kwa vijana wetu wa shule za msingi,nitaanza mwakani nikiwa hai,nitafundisha bure bila ya malipo,na vilevile nina mpango wa...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
wana JF naomba kuuliza-eti simu ya mkononi inatolewa ushuru ikitoka nje-na huwa ni kiasi gani?--help please
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mpaka wa kutuma newsletter kwa wateja wangu zaidi ya 6000 tatizo ni software sahihi ya kutumia kuwatumia nimejaribu kutumia outlook 2003 zimeenda kwa wateja wanne tu sijaelewa tatizo....je...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nilikuwa nimefungua email yangu kwenye yahoo, wakati bado niko signed in, ndugu mmoja naye akaomba naye afungue email yake ambayo pia ni yahoo. nikafungua window mpya ya yahoo lakini bado nikakuta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna wenzetu humu wamewahi kupata matangazo toka kwa watu wanaotumia majina ya INTERSWITCH au kujifanya mawakala wa INTERSWITCH , unaambiwa ukingie kwenye tovuti ya interswitch na kubadili taarifa...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Back
Top Bottom