khabari za sasa wataalam,nimeteseka sana kutafuta application za hii simu,adobe readr imeexpire vitu kibao vya kununua. Naomben mswada wa web nnazoweza download free applications please
Wakuu,
Nimeongea na Customer Service wa TTCL (Dar) wakasema wana tatizo la mtandao tangu asubuhi na wanawaomba radhi wateja wao kwa kutoweka hewani bila kuaga.
Nimeona vyema niwafahamishe...
My control panel got disabled due to some viral attack.please help me to enable it.
Logfile of Trend Micro HijackThis v2.0.2
Scan saved at 19:07:03, on 11/08/2011
Platform: Windows XP SP2...
Hypersonic Glider Lost over Pacific
USA Today is reporting that DARPA lost contact with its unmanned Falcon Hypersonic Technology Vehicle-2 during a test flight launched earlier today.
The...
Image by Kate Ter Haar via Flickr
Nobody wants to be party to coverups, outright lies and the other scandalous behavior sometimes exposed in the worlds of big government and big business...
kwakweli natamani sana kufanya shoping kwa hawa Jamaa " eBay" lakin sina uhakika kuhusu usalama wa account yangu pale nitakapoweka details zangu kwenye website yao, na vile vile sina uhakika...
jamni jamani jamani jamani kumbukeni speed ya mtandao wowote inategemea na location unaweza ukanunua mordem ya tigo na kifurushi cha standard month internet na download speed usipate hata 600kbps...
Tafadhali wandugu mtu yeyote anayeweza kuisaidia product key za SPSS 19 naomba anisaidie. Niko tight kwenye research na nimepata hiyo program tatizo ni product key....
Natanguliza shukrani
hello wataalam wa IT ama Computer Technology ni hivi mimi najishughulisha na mambo ya Mapping &Spatial Technology nilichokuwa nataka msaada ni kwamba nataka kununu laptop kwa ajili ya kufanyia...
Hey wadau na wataalamu wa jukwaa la teknolojia
Katika uzi huu kwa kutumia mifano hai na ufahamu na uzoefu wa mambo ya ICT tujaribu
kuchambua, kukosoa, kusifia na kulingansiha tovuti mbali...
Nina latop ya Zamani nataka nunua mpya.
Swali je naweza hamisha kila kitu ninamaana files na software kutoka laptop ya zamani kwenda mpya. Inahitaji mtu wa IT ama hata mimi Mchungaji naweza fanya...
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.