Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau mu hali gani? Niliwahi kuuliza hapa jamvini kuhusu tatizo la ubuntu kwenye Hp pavilion dv5-2155dx yangu kushindwa kupata option ya write click na left click. Kwa kuwa nilikuwa nimeinstall...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
some hackers (trick-TeampMisoN_)have hacked blackberry blog: http://blogs.blackberry.com bah! It is hackers and big companies!!
0 Reactions
1 Replies
847 Views
wakuu nimesahau password niliyoweka kwenye pc, naombeni kama kuna software yoyote nzuri ya kutoa administrator password kwenye windos
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kwa wanaotafuta driver nanapenda tushare hii link: http://laptop-driver.blogspot.com/2010/04/hp-compaq-nc6220-widnows-7-driver.html
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Wakuu Nina modem ya vodafone,tokea jana,umekuwa kero!!unakuta signal zipo,ila inaniandikia the page has not been found.Sijui kama naeleweka hapa.Tafadhali munisaidie
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi wakuu. Hawa ndo real hackkers. sidhani watu kama hawa wanaweza kushindiwa kupenetrate computer system yoyote ya Tanzania. Ni kundi linajiitai LulzSec. Hawa jamaa kwa sasa ni tisihio na...
3 Reactions
81 Replies
11K Views
Asee wakuu ma it wa kampuni yetu wamerestrict jamii na facebook sasa mimi nimefanikiwa kuiiba admini password kabla ilikuwa hata kudown load wamezuia nilipoipata hii nikilog in kuitumia nadownload...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mwanaforum yoyote ambaye ametembelea webisite ya HabariLeo (www.habarileo.co.tz) hivi karibuni? Inaonyesha imevamiwa.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wazee nimesahau password yangu ya yahoo wakati najaribu kuibadilisha nikajikuta nimesahau secret question moja wapo kati ya mawili, kuna mwenye maujanja mengine nifanyeje
0 Reactions
2 Replies
963 Views
In order to save time on converting files to PDF, the function, batch conversion is developed by converter developers. Spire Free PDF Converter is one good choice to batch convert files (including...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejifunza kuna uhaba wa wana taaluma ya science nchini. Wengi wanataka kujuzwa hakuna au wachache wanatujuza.
1 Reactions
4 Replies
953 Views
asee simu yangu ni nokia c9 ina line ya voda na tigo nashindwa kujiunga
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu juzi kati nilikuwa natoka kupata kilaji nikapata kaajali mitaa ya magomeni kama saa 5 usiku hivi, katika kurupushani ya ajali nikatoka nje ya gari kwa bahati mbaya nikasahau kulock milango...
11 Reactions
69 Replies
7K Views
nimewahi kupotelewa na simu yangu sasa hivi ninatumia sum sung nataka kuweka mobile tracker kuongeza security incase nikipotelewa lakini haina hii option je hapa unafanyaje anayejua tafadhali msaaada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wazee nimei flash simu yangu nokia 5310 ktk computer yangu lengo ilikuwa ni kuongeza ufanisi wa ki utendaji wa simu yangu. Mwanzo ilikuwa na v.3 sasa ni v.8 ajabu sasa hivi kila nikijaribu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naombeni msaada wa serial No za adobe cs5 na webpage maker jaman au keygen zake. thanks
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau kuna ndugu yangu yuko USA nataka nimtumie pesa aninunulie simu kisha aje nayo mwezi ujao Sio mtaalamu sana wa mambo ya ebay na hizi simu hivyo naomba mcheck hii simu RIM BLACKBERRY STORM...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wakuu natumia modem ya voda K 3565-Z-ila ni kama wiki nzima sasa na ushee haiwezi kuwa connected zaidi ya dakika 15,yaani ukishaiconnect tu-baada ya robo saa inaji-disconnect yenyewe-nimejaribu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
There are several scenes that catch viewers by surprise in HBO’s new documentary film, "Google Baby": The exact moment an Indian surrogate mother sees the child she has held in her body for...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Back
Top Bottom