Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
cheka na hii link iWindows: Emulate Windows 7 On iPhone [Jailbreak Tweak] | Redmond Pie
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Kwa jinsi gani ninaweza kuitambua blackberry original?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wataalam,ninawaombeni msaada wenu,1) Ni namna gani ninaweza activate window vista, 2) Key ntakazotumia ku'activate' window vista!!!!!Hali ni mbaya kwa mkopyuta wangu,kila mara inataka ni'activate'...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nimepata modem ya vodaphone Model K3565-Re 2 nami nataka nitumie line ya airtel,tigo na zantel .Wadau naomba muongozo wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari zenu wote naombeni msaada kidogo kuhusu subaru forester,nimenunua hii gari kama week mbili zimepita,nimegundua hili gari lina matatizo ambayo nisingependa yanipe ugonjwa wa moyo nikiwasha...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Samsung Series 5 Google Chromebook, a hard-drive free laptop run on Google's new Chrome OS, which stores all your content online in the cloud.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hellow JF!! Kama wajua hili kaa chonjo!!! ila kwa wale ambao hawajui basi unaweza kuupdate Avira antivirus bila kutumia internet yako ya bundle 20MB hehe just joking bana!!! Watu wengi...
2 Reactions
8 Replies
39K Views
Laptop yangu DELL INSIPIRON imenizenguwa kama ifuatavy:, majuzi nimeinunua ikiwa na Windows 7, lakini kwa kuwa sitaki kutumia windows hiyo niliamua kuformat. Hivyo kama kawaida nikaingiza CD na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba msaada jinsi ya kuifanya Copier machine ya Cannon ir2016, kuwa kama network printer, nina computer 4 (Windows XP) na laptop moja (ina windows 7). nina network ya LAN
0 Reactions
7 Replies
8K Views
wakuu nimedownload virtual dj pro 7 kwa kutumia torrent bt daaah installation yake imenishinda...imeniambia nifuate steps zifuatazo but imekua ngumu kidogo.. INSTRUCTIONS 1. Install the...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau, TAFADHALI NISAIDIENI.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
unakuta mwana teknolojia anaandika hivi, program yangu haikimbii, au modem yangu haifanyi kazi. Inaboa hata unaanzaje kumsaidia. Basi wandugu muwe mnaweka maelezo. Kifupi sema kitu gani hakifanyi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana amani iwe juu yenu.. Naombeni msaada wa serials au crack ya DPLOT 2.3.1.6..ama version nyingine yoyote Ahsanteni sana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomben msaada wenu ndugu, kuna app niki-instal inakubali ila nikitaka ku-open inakua "system error". Simu yangu ni nokia 5320 xm, kama kuna link yeyote nidondosheen hapa chini!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ubuntu has now increased its online storage for its users from 2GB to 5GB free for your files, if you are using ubuntu is easy in uploading your data on ubuntu one, so sign up and get full SAFETY...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
jamani kama unataka kufaidi live games all over the world iwe ligi ya uingereza, ligi ya brasil, soln hii hapa binafsi nime angalia game nyingi sana. 1= fungua...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Wadau ninaombeni msaada nina laptop Gateway nikiwasha inawaka kabisa hata nikitaka kurua BIOS ninaweza lakini haikubali kuendelea ku boot nimejaribu kuweka first book iwe cd rom na nikaweka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Niaje mazee mambo vipi? Nivipi tuna fungua modem model ec122?
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Salaam wandugu! kwenye settings za meseji naona kuna ''message validity'' ambamo humo kuna options tofauti mojawapo ni maximum, hivi ni nini kazi yake.? na kwenye message center number kuna namba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nina laptop mimenunua sasatel ila I WONDER WHY INAGOMA KUKONECT NA MODEM NYINGINE KAMA VODA,TIGO,AIRTEL
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom