Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Brought that shiny new unlocked iPhone 4 home to Tanzania, only have your first App Store experience end in tears? We certainly sympathize, andapparently Apple's heard your plea.Interested...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Wataalamu, Naomba msaada wa nini naweza kufanya ili kujua/kugundua kama nimekuwa blocked ku-chat katika yahoo Messenger na mtu ambaye siku zote nimekuwa na-chat nae ila ghafla simwoni online wala...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana, naomba kama kuna mtu ana software ya Adobe Audition aniwekee hapa ni-idownload. Natangulisha shukrani zangu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana jf naomba msaada kwa hili nimejaribu ku download file la movie kwenye filesonic limekuja kwa format ya winrar kila nikijaribu kuli extract ili lifunguke kwa winrar linafunguka likifika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
tafadhali wakubwa wa jamii forums nina wapsite moja http://wabongoo.tk niliiitengeneza kwa lengo la watu kuweza kupata phone downloads(hasa hapa bongo) kama vile nyimbo,application,themes hata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Chonde chonde, kuna kirusi hatari katika mawasiliano ya mfumo wa kompyuta. Tafadhali chukua tahadhari.Fuata link hii kwa taarifa zaidi: ConnecTechs Network Solutions
0 Reactions
1 Replies
1K Views
We use very simple Technology to Create this Radio station.. we don't have any frequency but we are using internet only... the Radio Broadcasting from Upanga Dar es Salaam.. and u can listen...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello thar FBI and international law authorities, We recently stumbled across the following article with amazement and a certain amount of amusement: FBI Tries To Send Message With Hacker...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mimi natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu wa masomo 2011/2012.Je chuo kama UDSM kitaanza lini masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaotegemea kujiunga mwaka huu? Naomba mwenye taarifa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Simu imeokotwa, maeneo ya Mlimani City jana asubuhi ikiwa haina chaji. Leo imewekwa chaji, ina PIN kwenye maeneo yote haiwezekani kuiwasha. Kwa aliye poteza simu maeneo ya Mlimani City siku za...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
The Bugatti Veyron is a modern automotive legend. The sleek speedster from Volkswagen boasts a top speed of over 260mph, making it the fastest road-legal car in the world, and it has a stunningly...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Its Nokia 6300...help me guys...whnevr am tryn' naambiwa 'DOWNLOAD FAILED' bt 4 othr stuffs like videos,mp3 music,photos hazina shida..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Za leo wana JF, naombeni mnieleze wapi nita download video kwa format ya mp4 na sio 3gp
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nawasalimu wana jf? Mimi bwana nimeanza kutumia hii huduma ya dstv mobile ya vodacom, na huduma hii walivyotangulia kutangaza, walisema huduma hii ni bure, lakini cha ajabu ninapotazama channel...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi wanateknolojia. Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Halow JF KUANZIA TAREHE 23/JUNE WALE JAMAA WA SYMBIANSIGNED WAMEBADILISHA SITE YAO SO HAWATATOA .cer na .key ANYMOREEEEEE SO HUTAWEZA KU HACK SIMU TENA..KAMA ULISHAWAHI KUPATA .CER NA .KEY...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimefungua group hapa JF ila natak kubadilisha jina lake kutokana na ukweli kuwa malengo na mtizamo wa group umebadilika kidogo. naomba msaada jnsi ya kubadilisha group name, maana naona option...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Hi! Nachukua shahada ya uhandisi yaani 'Electronics & Communication Engineering', nakaribia kujiandaaa kufanya project kwa ajili ya kumaliza, kichwani kwangu nahisi sina mwongozo wa kutosha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani tahadhari hii hapa, wote mliokunywa kikombe kwa babu na kuacha kutumia dawa zenu yanaweza kuwakuta makubwa, nina rafiki wa karibu alikuwa anatumia ARV alivyorudi kutoka kwa babu akaacha...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimefungua internet cafe sasa nahitaji kulimit kudownload files not more than 3mb nafanyaje msaada wajuz.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom