Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu ufanyaji kazi wa hivi vitu naona kama zinafanana.kwamba kila kimojawapo inawezekana kinatumiwa mawasiliano ya kipekee na provider wa huduma tofauti na matangazo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuanzia siku tatu zilizopita nimekuwa nikipokea emails za ajabu ajabu toka kwa ndugu na marafiki wanaotumia Yahoo. Wao wanasema hawajatuma hizo messages. Inaonyesha labda password zao zimekuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
As of today, this monitor is now officially revealed by the company re-branded as "Apple Thunderbolt Display". On a nutshell, this device works just like any other monitor but of course, it has...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
habari za j,pili ya leo wana jf.natumai mpo salama kwa uwezo wake yeye aliye tuumba.jamani mimi flash disc yangu imekumbwa na tatizo hili. msaada wenu tafwadhari.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina simu ya Nokia model 2690 ninataka kuunganisha na internt ya tigo naombeni msaada wa maelekezo natanguliza shukrani zangu wanajamii foram.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: E.A COMBINED • View topic - Fake Apple Store spotted in China Fake Apple Store spotted in China Fake Apple Store with fаke Apple products wаs spоtted in China...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ya J3 wakuu. Nahitaji Battery ya Lenovo N200 haraka iwezekanavyo. Kama unayo, au kuna mdau unamfahamu anayo tafadhali tuwasiliane. Ukini-PM inakuwa vizuri pia. Asante.
0 Reactions
0 Replies
902 Views
wakuu msaada pls wa motorola L6 keypad imekuwa locked,hata ukizima ukawasha ni vilevile,yaani keypad yote haifanyi kazi​
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Wakuu naombeni msaada, CD-ROM ya computer yangu haisomi CD ya aina yoyote. It happened kwamba mtu aliweka DVD chafu, then from there hafanyi kazi. Ukiweka CD inarespond kama kawaida, taa inawaka...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Wadau samahanini mie nnataka kuelewa kuwa hivi kwa jinsi marumaru(usually small white blocks) zilivyoundwa material zake za kutereza sasa mbona nazo pamoja na kuziosha mara kwa mara zinashika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello jf!!hyo simu tangu niinunue nimeshndwa kuapload pcha,kwa yeyote anaejua anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow, Jinsi ya kudownload Free Application From Ovistore to ur PC ni rahisi sana na haiitaji ku Hack wala nini!!! Wengine watasema kwann udownload kwa PC, Jibu ni kwamba sometime kudownload...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam zenu wana JF ... Nina wazo .. since kuna facebook APPS, Twiter Apps .. etcl wataalam hili jukwaa naona mnafanya kazi nzuri sana kwa kutoa majibu kwa wale wote wnye matatizo bila kejeli...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Katika pitapita yangu nimemkuta kijana anauza moderm ya ZTE nodel no. AC8710, binafsi sina ujuzi wowote wa kuitumia kwani nimejaribu kuistal kwenye machine yangu naona haifanyi kazi naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za kazi,poleni na majukumu. Naombeni msaada kuhusu simu yangu naona imenigomea kimtindo gafla tu nashangaa imeniandikia phone restricted,sasa ukibonyeza Undo Inaniambia ni enter...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Please kama kuna yeyote mwenye beat making software for biginners nzuri au wapi naweza download for free anisaidie
0 Reactions
3 Replies
947 Views
guys nmehamia huku mbezi luisi sasa modem yngu impungua speed kinoma (napata EDGE) ! is there any technique i can use to improve the speed!??
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naombeni mnisaidie jaman maana ina vitu vya ofisi, JINSI YA KUTOA PASSWORD MM CJUI
0 Reactions
11 Replies
2K Views
http://facebook-profile-pictures.blogspot.com/
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom