Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

mamlaka ya mawasiliano imepitisha usajili wa simu( laini pamoja na simu yenyewe IMEI number) ambayo baadae itawezesha pia kuzuia matumizi ya simu ambazo zimeibwa. je kuna usajili wa aina hiyo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa muda wa miezi kama minne sasa nimekuwa natumia win 7 kutoka win xp. Natafuta win xp nirudie jembe langu, maana hii win 7 inamadoido na mbwembwe nyingi lakini kwangu naiona nyanya sana, toka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwenye link anisaidie. nikijaribu napata za 1.8GB au 800MB ambazo kwa modrem zetu za kibongo unaweza kutumia siku mbili asante
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, Nahitaji TV series za "It Might be You pamoja na Timeless" Hizi series ziwahi kuonyeshwa na Star TV wakati fulani..... Naomba yule anayejua website nipoweza kuzidownload hizi au Mahali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natumia Dell laptop Latitude D510, window XP 2007, nilikuwa natumia Mozilla Firefox kubrowse mitandao. Speed yake ni nzuri na nili-ifurahia. Kizaa zaa kilikuja baada ya ku-install VLC media...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa wale waliokuwa wanahitaji frequency za TBC 2 hizi hapa Intelsat 802ku-32.9 TBC1-11691-4000. TBC2-11178-3671
0 Reactions
32 Replies
19K Views
I run the F45-AV412. I need to slipstream SATA AHCI Controller driver into WXP cd. How do I find out the make and model of my motherboard so I can search and download its AHCI driver? I can't use...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wazee Uchakachuaji wa Star times Uko vipi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, natumia blackberry curve 8520, sasa kuna software nazihitaji ni za kulipia kwa pay pal, nilikuwa nauliza inawezekana kulipia? Na ninaomba maelekezo ya namna ya kulipa......thanx in...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Do you want to send SMS for free from your iPhone? Well, new app released on the App Store called TextFreek, which will allow you to send free SMS from your iPhone. After you have installed this...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba wanaofahamu wanisaidie. Je ku-unlock modem niliyoinunua kwa fedha taslimu (sizungumzii zile modem za contract kama zipo) je ni kinyume cha sheria?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninayo Iphone Serial No: 7U7457SEWH8,imei No:011364002578596 Nimetumiwa na jamaa yangu tokea USA na imekuja na simCard ndani yake sijajua kama ilikuwa inatumika huko au imetoka nayo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hi , can anybody assist me in getting software for transformation of Longitude and Latitude to UTM system of coordinates.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilitumia adapter tofauti kwenye kompyuta yangu tangu hapo imekataa kuwaka,je ni kifaa kipi kitakuwa kimeharibika?kwa yeyote anayefahamu mafundi wa kompyuta wa kuaminika wanaopatikana dar naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watu wengi wamekuwa na mtazamo mdogo juu ya Usalama (security) usalama katika computer nyumbani, na hata maofisini. Tunapoongela secuity watu wengi wanadhani tishio(Threat) Kubwa katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HACKING A CYBER CAFE IS REAL FUN BUT MAKE SURE YOU ARE NOT CAUGHT B'COS I WONT BE THERE TO HELP YOU, 1. Buy any amount i mean time, put it in box Before u click the enter button just hold the...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
NASA has revealed what the future of air travel could look like. The US space agency has released pictures of three different designs of aircrafts that could potentially be seen flying in 2025...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wadau naombe msaada wa kudesign RIA website using ASP.NET 4 C# OR VB, any idea will do plz.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, nahitaji motherboard ya laptop aina ya Dell Latitude D430. Msaada plz
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…