Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

jamani nina zte modem ya sudan nataka kuitumia huku tz, kunaanaejua jinsi ya kuiunlock?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wadau mi na shida na muonekano mwanzo ilikuwa inadisplay englsh lang lakn sas hv inadisplay kirusi flan sasa sielewi. Je nifanyeje irudi kenye hal yake ya mwanzo. ... Plz msaada kwnye...
0 Reactions
3 Replies
839 Views
Wakuu wanajamvi naomba msaada wenu, nataka kujiweka fit na program ya SPSS, jaman mweye software and study guide(soft copy) anisadie Natanguliza shukurani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za Kazi wakuu, Jamani mie Natumia Modem ya Zantel yenye Kifurushi cha Z - MONO ambacho Natakiwa kuweka elf Kumi kila Mwezi, Na matumizi yangu makubwa ni Facebook, Hotmail, Badoo na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau, natumia Decoder ya Easy Television,huwa nakilipia kila mwezi,chakushangaza kwenye hiki king`amuzi kina ch:32 lakini ninauwezo wa kutazama Ch: 18 tu na nyingine zinanidai Pin code ...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
NIMEBADILISHA OPERATING SYSTEM KWENYE LAPTOP YANGU AINA YA ( iNSPIRO 1525) DELL, DRIVER ZA SAUTI ZIMETOKA,PAMOJA NA VGA COMPATIBLE NAOMBENI MSAADA MWENYE NAZO ANITUMIE
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za shughuli wadau?ninaomba mnisaidie maelezo jinsi ya kudownload game ya Football Manager ya 2010 au 2011,ahsanteni!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mambo vp wakubwa nina loptop audio imepotea naomba msaada wakubwa.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman wa jf ni program gan nzur kwa kutengenezea videos?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wana jf naombeni keys za window vista
0 Reactions
3 Replies
846 Views
Naomba msaada; modem ya voda inakataa kwa laptop yangu hadi nimelazimika kununua ya airtel, natumia windows 7, je hiyo inawea kuwa sababu? Nifanyeje wakuu?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hey guyz can u teach me how to change nokia 5800 firmware to a nokia c6 firmware
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima wakuu, Tangu jana usiku nimehangaika sana kutumia JF kwenye simu yangu, Nimepost thread ya kwanza then baada ya kutoka kwenye Internet nilipotaka kurudi tena sehemu ya home page hakukuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanaJF naombeni msaada wenu kwa anayefahamu wapi zinapatikana dish za ku-band za ukubwa wa cm 120 na gharama yake ni kati ya sh ngapi maana nilizunguka maduka yote mwanza lakini sikufanikiwa!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu jamani natumai hamjambo! Pleasee nisaidieni jinsi ya kufanya istallation ya window server 2003 na pia nataka kujua kama inawezekana kuistall window server 2003 kwenye machinw yenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana nahitaji msaada ku-unlock modem yangu details zake ni E1588 IMEI 3595920357481961Natanguliza shukrani nyingi.
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Habari wana Jf, naombeni mawazo kidogo kuhusu yaliyonikuta, nimekutana na kimeo leo kimenitoa jasho, Window 7 home premium nimeistall Avast free antivirus 6.0.1000.0 inakataa kuregister ukiclick...
0 Reactions
1 Replies
757 Views
Naomba msaada wanajamvi. Nina laptop yangu inatumia Windows 7. Inanipa warning kuwa Windows Security Centre will not start. Nimejaribu ku configure na kujaribu i start tena automatically lakini...
0 Reactions
1 Replies
917 Views
ESET NOD32 ANTIVIRUS BUSINESS EDITION Mwenye serial key au patch tafadhali. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jaman nilikuwa naomba msaaada wa software ya ku unlock memory card !! maana nina nokia yangu e71 ambayo nime i update xema kumbe memory yake ilikuwa na key xo now inashindwa kusoma !! msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom