Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Nina camera digital aina ya casio exilim EX-Z16 yenye 12.1 megapixel na zoom ya 3x niliyoinunua mienzi mitano iliyopita huko Spain ambayo imekuwa na matatizo yafuatayo; Sijawahi kuidondosha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kufahamu mambo kadhaa kuhusu mkongo wa Taifa: 1. Je umekamilika? 2. Je tumeshaanza kuutumia? Kama jibu ni ndiyo, mbona basi speed ya internet iko vilevile kama zamani na mbona bei...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana naomba msaada wa jinsi ya kutumia simu yangu Nokia N95 Nsiries kama mordem. Computer yangu ni aina ya Compaq yenye window Xp professional. Msaada tafwaaadhali.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuanzia leo nitakua hapa kama muwakilishi wa kujitolea wa airtel so kama una tatizo lolote kuhusiana na line yako,na matumizi ya mtandao wa airtel kwa ujumla tafadhali jiskie HURU...i'M HERE FOR YOU
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Kutoka majuu Microsoft Files Antitrust Complint Vs Google Once the focus of antitrust complaints itself, Microsoft sets its targets on Google The tables -- or in...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Nina cm ya Nokia 2690 natumia line ya vodacom. Nataka kuitumia kama moderm kwenye pc yangu. Naomben msaada wanajamii nifanyeje. Natarajia mtanisadia
0 Reactions
10 Replies
3K Views
msaada tafadhali natanguliza shukrani nina tv yangu aina ya Ferguson F2620LVD 26in LCD TV lakin kila niki play video kwenye ile screen naoan picture motion ina chelewa ku respond...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TAKE THIS:panda: Ilo tatizo nilikuwa nalo lakini liziinstall kwa kutumia copyuta huwa zinapatikana kwenye SETTINGS-SECURITY -certifaicates kwanza unabidi huwe na 1. nokia pc suite 2.usb cable/pc...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF wote heshima yenu wakuu naombeni kuuliza symbian na iphone ni simu za aina gani hizo?
0 Reactions
3 Replies
8K Views
habari zenu bana niaje wadau wa jf...naomba msaada wenu wadau nina ipod ya 1Gb kila nikiweka nyimbo inaktaa afu imeblock nikirestore inakuwa poa ila nikiweka 2 nyimb aimalizi ku syclonise...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Nimeibamba hii habari mtandaoni leo, kwa wenye habari mutanisamehe kwa kurudia.Hatua njema anwani yake ni http://www.tbc.go.tz For ICT news,lessons,knowledge... Tembelea ICT KIjiji
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Kila napojaribu ku-shutdown ina hang sijui nianzie wapi......mwenye clues anisaidie mawazo.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nina tv yangu aina ya Ferguson F2620LVD 26in LCD TV lakin kila niki play video kwenye ile screen naoan picture motion ina chelewa ku respond yaani sauti ina sikika fresh xema motion ya picture...
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Computer yangu imekwama katika internet lakini nilipocheki kwenye ethernet controller inaonesha haifanyi kazi. nikijaribu ku update kwa kutafuta ethenet co nyingine kwa kupitia computer...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumia TTCLBB, Modem Smartax MT880, winxp, win7 pcs on wired LAN. A couple of laptops connecting using CISCO Linksys WRT1220N. Nina matatizo mawili Im forced to rely on a single pc, since...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jamiiforums; Nilijaribu u-download tv4africaplayer kwa ajili ya kuangalia ITV. lakini la ajabu ni kwamba nimeweza ona siku moja tu, baada ya hapo hakuna response niki-click link. Watalaam...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, samahani waheshimiwa kama hili nalotaka kuuliza lilishajadiliwa hapa. Naomba mnisaidie kama kuna madhara yoyote ya kuficha ip address, na kama hakuna ni software au njia gani...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Nimeamua kuuliza hili swali baada ya kuwa njia panda kwa muda mrefu. Wengine husema wakati mvua inanyesha hasa ya radi simu inatakiwa ifungwe maana ni hatari. Wengine husema haina tatizo. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwanza kwa wanaJF wote. Jamani nawezaje kupata proglam ya kuzuia baadhi ya watu ninaotaka kutonipigia simu. Aina ya simu yangu ni Nokia 5130 express music
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wadau habarini? naomba msaada wa hapa nilipo nauziwa black berry cave 8520 but nahisi kama vile inamatatizo maana najaribu kuitafuta kwa bluetooth katika simu yangu ya nokia siipati but...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom