Wakuu Nina tatizo anayejua anipe ushauri i wa kitaalam.
Ninadevelop ka webblogwesite kwa kutumia CMS sofware ya wordpress
ili niweze kufanya customisation nazotaka ninatumia webhost au...
Open source anti-theft solution for Mac, PCs & Phones Prey
100% geolocation aware
Prey uses either the device's GPS or the nearest WiFi hotspots to triangulate and grab a fix on its...
Habarini wataalamu jana nimefanya format mashine yangu ya home dell nimeweka window XP serv pack
3 baada ya kumaliza kuformat ikapoteza sauti,na pia picha zikawa na scratch sana na font zimekuwa...
Nawasalimu wanaJF wote kwa jina la bwana yeye atutiaye nguvu. Jamani naombeni kuwauliza wataalamu ni aina gani ya SATELLITE FINDER ambazo ni orginal na bei yake ni
Wakuu, Nilikuwa Na-update Blackberry yangu curve 8320, ambayo imetolewa na vodafone, Wakati Na-update nilipata tatizo la simu ku-stack na kushindwa kuendelea na update, Nilijaribu kuichomoa betri...
haya jamani,kwa wale tunaoishi milimani kama morogoro umefika wakati sasa wa kufuata kilimo cha kisasa high technology with high yield,hiyo itasaidia kuondoa matatizo ya njaa,mmomonyoko wa udongo...
Wakuu habari! kuna Notebook Compaq nimeiona mahali nikaipenda nataka inunua tatizo imeandika Operating system yake ni FREE DOS. Naomba kujua hii ni nini hasa na je kama nikiinunua naweza instal OP...
mi shida yangu ni kwenye laptop yangu ya note book sumsung n150, kila nikiingiza activation keys za window 7, na VISTA ginuine zinagoma, nimejaribu hata kutumia key loader , pia zinagoma, bado...
WanaJF wote nawapa heshima.
Mimi ninaye kijana wangu ni fundi mzuri sana wa tv satellite dish such as pay and free to air na mwenye akili nyepesi sana katika kujifunza Hivyo anahitaji kupanua...
Habari zenu wana sayansi na teknologia,
najua wengi wetu baada ya kuona hiyo headline kama kawaida mawazo moja kwa moja yameenda kwenye yaleeeeee... mambo yetu yale!!!!! ha ha ha teh teh teh...
kuna tatzo lmetokea i dont know but mda so mrefu nilikua na access account yang kwenye mobile but saivi inambia account temporary unavailable. Nashndwa kuelew tatzo ni lipi jaman naomba msaada...
WanaJF,
Nimekuwa nawaza ni kwa nini Tanzania bado maentrepreneure bado ni wachache wengi ni watu wa Asia. lakini Pili Jirani zetu wa Kenya kila kukicha wanatupiga bao, na hata hii juzi...
inakuwaje wakubwa? natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jf wote
tatizo langu ni kwamba natumia simu kama modem kwa sasa speed inanionyesha kuwa ni 921.6 kbp,kiukweli sijaridhishwa na...
Ndg wana Jf,
Naomba msaada wa jinsi ya kuirejesha email yangu ambayo imevamiwa jana na kusambaza ujumbe kuwa naomba pesa kwa watu wanisaidie eti nimeibiwa, jambo ambalo si kweli.
Nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.