Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

nimeendesha gari kama kilometa 10 hivi huku handbreak ikiwa sijashusha,je ina madhara gani kwenye gari
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Not so with the fifteen sites here. These sites changed the Internet, mostly for good, in substantial ways. Included here is everything from Geocities (which could probably be blamed entirely...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu wakuu,nafkir kichwa cha habar kinajieleza hapo juu. Napenda kufaham jins ya kuhack ili kuangalia channels for free.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu salaam, Nimevamiwa na wajanja kwa hiyo my email account yangu inatuma spam kwenye watu wote niliowahi kuwasiliana nao awali. Nimebadili password mpaka kuweka majina ya kibantu bado. je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toka wiki iliyopita nimeona speed ya hawa jamaa imeshuka kwa kwasi ya ajabu sana, mwanzo speed yao ilikuwa inafika hadi 2.mbps kwa 3g, ila toka wiki iliyopita imeshuka na haifiki hata 1mbps, juzi...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Kuna computer nimeletewa na rafiki yangu nimfanyie Installation ya Windows,hii Laptop ni Dell D610,sasa nilianza kujaribu kuingiza Windows XP ikagoma,nikaamua kujaribu Ubuntu nayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu, Hivi tekenolojia ya bluetooth inafanyaje kazi? Iligunduliwa lini, na nani, na wapi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wana JF,naomba msaada wa mawazo,najaribu kucompose message kwenye yahoo,inashindikana,page ya kuandika haidisplay(ninapoclic compose page haidisplay)nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Katika suala zima la mawasiliano hasa bila kutumia nyaya(yani wireless communication) tuna aina mbila za toplogy, ya kwanza uitwa Ad-Hoc Network topology na aina ya pili uitwa infrastructure...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Amani kwenu wadau! Naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nkapata information ya sehemu nikaatend short course ktk graphic design. sehemu yoyote dar! thanks!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu wooote salaam sana. Ninauliza kama kuna mtu mwenye software ya Hotel managment yenye uwezo wa kuprint service voucher/invoice/ cash in/out etc.???
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Niliangalia kwenye orodha ya simu zilizoorodheshwa aina ya simu yangu haikuwepo nifanyeje? Aina ya simu ninayotumia ni nokia 5130 express music
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo vp wanataaluma,naombeni msaada kwa anayejua security code za nokia 2690,nimejaribu zile za kawaida 1234 na 0000,lakini sikuambulia kitu,ila nikiweka line ya voda ni fresh kabisa haitaji...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
kwa wadau wa IT hiyo ndo report ya mambo yanavyokwenda duniani.
0 Reactions
0 Replies
937 Views
World Backup Day 2011 - March 31st Backup your data!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wataalam naomba nisaidiwe key za BPM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A University of Western Ontario researcher seeking to determine the genetic sequencing of schizophrenia has observed that even identical twins are not exactly alike at the genetic level. The...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Dunia imegundulikuwa kuwa si duara bali ni kama kiazi. katika umbo jipya linaloonesha ukanda wenye mgandamizo mkubwa wa nguvu za uvutano na mdogo(Gravitational force). Tanzania tupo ukanda wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
PICHA HII IMEPIGWAJE???? KAMA KUNA MTAALAM HEBU ATUJUZE NIMEIKUTA MAHALI FULANI NIKAIPENDA
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda sana kusoma kitabu cha mzee wetu Nelson Mandela kiitwacho Longa Walk to Freedom, nakipataje
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom