Jamani wandugu tufunguane akili na hii technologia ya kuingilia mazungumzo ya simu za kiganjani. kwa nilichoweza kujua kwa wale wenye simu zenye bluetooth, gps na wireless internet ni rahisi...
Kabla ya yote, kuna hii website ya 000webhost ambao wanatoa hii sevice lakini wako makini na uchafu utakao upload.
Haya tuje masomoni
This HTML Beginner Tutorial assumes that you have no...
Ndugu wapendwa,
mimi nina stationery na mara kwa mara napata kazi za kuprint colored documents.
Printer yangu ni HP color laserjet 1250, yaani toner zake ni expensive mno [ around 150,000tsh kwa...
Hi JF members,
I am a second year student at the university of Dar es salaam taking bachelor of science in computer science.
I would like to ask for your help,if any of you has a company...
:A S clock:Kabla ya yote, kuna hii website ya 000webhost ambao wanatoa hii sevice lakini wako makini na uchafu utakao upload.
Haya tuje masomoni:teeth:
This HTML Beginner Tutorial assumes that...
Habari za shughuli wadau!
Ninahitaji kujua procedure ninazoweka kufuata ili kuweza kutumia modem moja kwa line tofauti. Mfano kwa sasa ninatumia modem ya vodafone yenye line ya voda, sasa nahitaji...
Wakuu nataka ninunue music system kwa ajili ya kuniliwa kidogo. Naombeni ushauri juu ya Watt na ukubwa wa sauti maana naona zinaandikwa 250W, 300W, nk. Ikiwa na 600W itakuwa na mdundo?Maana nataka...
Bongo-IT Community | Facebook
Habari wana JF,
Napenda kuwafahamisha kuwa, kuna page ya Bongo-IT community, imeanzishwa facebook kwa ajili ya kuwaunganisha wana IT wote wa kitanzania duniani...
Not getting enough sleep?
Turn off the technology
By Patricia Reaney
Dependence on televisions, cellphones and laptops may be costing Americans dearly -- in lack of sleep.
The national...
TBC nitelevisheni yetu ya taifa lakini kuipata kwa kutumia dish siku hizi inasumbua sana kwa haya madish yetu ya kichina yani kupata signal ni ngumu sana tofauti tv zingine za hapa TZ imekuwa...
Wakuu habari zenu
Ninatumia blackberry curve, kuna mafile nataka kufungua yanahitahi pdf reader, nimejaribu ku search
Nimepata za kulipia na taratibu za kulipa sizijui kabisa, sasa naomba msaada...
Technolojia sasa imeshika kasi duniani kwani kila hatua ya maendeleo the technology must get involved kwahiyo ni kitu serious na lazima isimamiwe vyema. Bali cha ajabu hapa kwetu Tanzania failure...
Mu hali gani wataalamu? Naomba mnijuze kisayansi ndg zangu iwapo kuna madhara yoyote kiafya kwa kutumia laptop ukiwa umeiweka mapajani huku uki-internate kwa muda mrefu, hasa kwa "IKULU" Hakuna...
Mambo vp wakuu? ni matumaini yangu kuwa mko na afya njema.
Namshukuru sana ndg yangu Zasasule na wengine wameniwezesha kudownload windows 7 Ultimate lakini ina download slow mno hadi inakera...
iDeneb v1.4 10.5.6 Walkthrough Installation
This tutorial will give you a walkthrough on an iDeneb v1.4 10.5.6 installation. Older versions of iDeneb are basically exactly the same.
Before we...
Jamani wakuu please ninahitaji hii software na pia kama kuna mtu anweza kunifundisha nimlipe au kama kuna chuo kinafundisha please naomba mnisaidie wakuu