Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Kwa sasa hivi katika jiji la dar es salaam huwezi kupita kilomita 2 bila kukuta mnara wa mawasiliano labda juu ya nyumba za watu haswa magorofa kati kati ya jiji na pembeni kidogo au barabari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello wakuu..natafuta motherbord ya laptop aina ya dell latitude D430, ni notebook.. Kuna circuit imengua ikazima machine na haijawaka tena..msaada plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari. naombeni msaada wa kutoa setup password kwenye laptop ya dell ili niweze kuedit settings. password iliyopo siifahamu
0 Reactions
18 Replies
11K Views
Jamani naombeni kujua aina ya virus wanaopatikana katika outlook.Swali hilo limenishinda kidogo na nimetafutia majibu yake sikupata.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
URGENT!!! PLEASE CIRCULATE to your friends, family and contacts. In the coming days, DO NOT open any message with an attachment called: BLACK MUSLIM IN THE WHITE HOUSE, regardless of who sent it...
2 Reactions
1 Replies
946 Views
tafadhali wanaJF, naomba msaada wenu. nime-install Windows 7 Ultimate. Napata message ya kwamba siyo genuine ingawa inaji-update automatically. Nifanyeje? msaada tafadhali. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ninavyoandika sasa hivi watumiaji wa Mtandao nchini Tanzania ni 676,000 hiyo ni asilimia 1.6 ya idadi ya Raia wote wa Tanzania wakati huo huo watumiaji wa Mtandao jamii maarufu kuliyo yote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa Computer yangu imefanyiwa Instlation hivyo imefutwa kila klitu na sasa nataka kuprint lakini sina CD ya printer ni HP naweza kufanyaje ili niconect computer to printer bila CD ya printer...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF naomba msaada wa kuattach picha mbalimbali katika post zangu SIMU yangu ni N79 naomba kuwasilisha kazi njema Asante.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana JF,niliwai kusikia Mtu ana Boot computer kwa kutumia Computer nyingine ? naomba nielekezeni kujua njia inayotumika
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello wana JF, nina shida kidogo na simu yangu BB Curve 8520, ninatumia browser ambayo ipo kwenye simu yangu inafanya kazi vizuri tu... lakini siwezi ku log in kwenye jamii forums inakuwa inakataa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kuna blog nimefungua , iko fresh, jana ktk kucheza cheza kwny web zingine nikakuta 100% Free Hit Counters for Your Website. 100's of Styles to fit your Site. Keep track of your sites page hits...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu? Naomba mwenye kufahamu site yenye material mazuri zaidi ya J2ME, Java Swing Package, Android technology and Ruby on Rails.. Material hayo: Yawe ya aina yoyote video, audio...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Africa ready for new Internet address regime Scrolling through functions of a smart phone. Photo/REUTERS By MICHAEL OUMA Posted Monday, March 14 2011 at 00:00 THE EAST AFRICAN The...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Wakuu naomba kwa yeyote aliyewahi kutumia professional antivirus software na free antivirus software (mfano avast) kwa nyakati tofauti, je kuna utofauti mkubwa sana kati ya hizo mbili kwenye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu.Mi na2mia dell d620 yenye windows 7prof.niliyonunua kupitia humo ndani.Lap hiyo ina tatizo upande wa administrator desktop icons zote zimekuwa overshadowed by window...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ninahitaji TV aina ya Sony Bravia LED TV 32" new model ambayo unaweza watch events mbili kwa wakati mmoja make ya Malyasia kwa NRB ni Ks.32,000.00 eqt to Tsh.600,000.00, nikifatilia bei za Dar ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waungwana salam! Mimi ni kijana mwenye elimu ya darasa la saba nipo Dar. Napenda TEKNOHAMA (Teknolojia ya habari na mawasiliano) kiasi nimeweza kujifundisha kutumia kompyuta si haba! kwa msaada wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii forum. Nina tatizo la sauti katika dell Inspiron 6000 hili limekuja baada ya kuachana na Window XP na kuanza kutumia Window 7. Nimejaribu kadri ya uwezo wangu imeshindikana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau natumia startimes tv ya flat, sasa kwa upande wa kulia juu, kwa siku hizi kunajitokeza kisanduku cha barua ambacho kuna ujumbe nimetumiwa natakiwa kuusoma, nimejaribu kukifungua...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Back
Top Bottom