Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wandugu, yuko rafiki yangu amenikaribisha(invitation) kutumia drop box ambayo baada ya kukubali mnashare folder. Ndani ya folder hiyo unaweza kuingiza faili lolote hata kama ni wimbo na yeye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naomba mwenye kufahamu anijuze nini cha kufanya juu ya tatizo la computer yangu kuwa nzito, Computer yenyewe ni DELL laptop, yaani kila nikifungua programme yeyote inakuwa nzito mno wakati...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hbr! Jamani tafadhalini naomba mwenye kufahamu anifamishe ni namna gani ya kuburn u tube movie/clip(s) kwa maana nabaki kuziangalia kwenye laptop tu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani kama kuna mtu ana software ya Office 2010 naomba anisaidie
0 Reactions
1 Replies
2K Views
whts upp guys.. kuna huyu virus anaitwa win32/bamital.DV trojan,anasumbua ile mbaya kutoka kwenye pc, nimejaribu kutumia combo fix,malware bytes lakini badoo.. ANY MSAADA,ADVICE,anyone ambaye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Today I want to share with you about one important thing. That is health. Although we feel that we are healthy, it is not always so. In reality, our health is always in danger. A lot of poison...
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Salaam wanajamii. Nisaidie wapi nipate mp3 player kwa notebook yangu. Nina window 7. Pia kama nawezapata office 2007 software nitashukuru.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
me tatizo langu dogo tuu, yaan nashindwa kucomment a comment, yaan nikitaka kukoment kwny thread nakuta comment yangu imekaa chini kbs, ila ss nawezaje kucomment a comment? yaan ile labda nina...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanajamvi Tuchambue, tukubushane ,tuulizane tuelimishane behind the scene nmbinu na mechanism gani CPU inazotumia kuhandle job, task na process mbali mbali Kwa nini sometime pc ina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
natumia iPhone, siwezi download nikiingia iTunes, wananitaka niwe na account pamoja na code ya kuniruhusu kudownload, plz msaada on how to register an account na kupata tht access code
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi wakuu, Nahitaji msaada wenu. I am planning to create a simple Java program ( .jar ) which will store its data in XML format. I would like to access some data from XML file and export to...
0 Reactions
2 Replies
936 Views
WanaJF ninawapa pole sana kwa kile kilichotokea jana GONGO LA MBOTO mana hal ni mbaya sana. Kwa jins inavyoelezewa na jins nilivyoona ninawapa pole sana marafik ndugu jamaa na watanzania wenzangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sun unleashes huge solar flare towards Earth By Paul Rincon Science reporter, BBC News Click to play Click to play Time lapse image of the solar flare as seen by Nasa's Solar...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Lengo la teknolojia ni kurahisisha na kuboresha maisha ya jamii. Hivyo AfroIT tukiwa kama wana jamii tumeanza kuandaa mafundisho ya kutengeneza tovuti kwa kutumia joomla. Katika mafundisho...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nataka kutumia registry cleaner ili niweze kuspeed-up machine coz kuna mtu aliniambia kuwa hiyo njia inasaidia kuongeza speed ya computer, lakini kuna rafiki yangu mwingine anasema kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mambo vipi wakubwa/ naombeni msaada wa activation security shield ya avira coz co yangu imejaaa virus wengi sana au ni njia ipi naweza kuitumia ili niwaondoe hawa wadudu wote?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
URGENT PLS!! Wadau nisaidieni. Nimejaribu siku nzima kufanya usajili wa kijana wangu kupitia web ya NECTA bila mafanikio. Jamani nitumie njia gani li web hili ilfanye kazi???
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kuuliza :Nataka kutumia Modem 3 ya Zantel Voda na Airtel kwa mpigo Je hii inaweza kufanya speed ya kuatach vitu au kudowload kuwa kubwa? Asante
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu naomba mnisaidie kunipa shule jinsi ya kurestore OS ya zamani, coz kuna vitu nilivitunza kwenye desktop so nilipoiformat vikapotea na bado navihitaji. Nilliwahi kusikia kuwa inawezekana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Natumia Window xp, iligoma kufanya kazi kwa siku nzima ,nikaamua ku-repair kwa kutumia CD na ikafanikiwa kuirejesha kwenye hali yake. Lakini pamoja na programme zote kuwepo lakini mafaili yote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom