Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Feni yangu haizunguki,inapata moto na inaunguruma tu Tatizo ni nn?
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Wakuu! Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina...
17 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
5 Reactions
64 Replies
8K Views
Tajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee. Kwa sasa, inachukua masaa 16...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Habari za mchana wana jf poleni na majukumu ya hapa na pale mimi nahitaji msaada kwa mtu mwenye uwezo wa kuremove zile color huwa wanaweka hawa ndugu zetu wauza mikeka wanaosema wana fixed game...
1 Reactions
7 Replies
185 Views
Habarini Wadau Kati ya TV hizi ipi ni Bora Kwa matumizi na haitaleta changamoto mbeleni huko. 1.Hometech (32 inches) 2.TCL (32 inches) 3.Alitop( 32 inches) 4.Aborder(32 inches) Budget...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu hii ni mara ya kwanza kukubaliwa na adsense ishu nataka wale wenye uzoefu waniambie malipo yanapokelewa vipi huku tz Naomba mnijuze
6 Reactions
10 Replies
372 Views
Wakuu mi utata wangu wote hapa nimekwama. Nani mtata wa kulock hii simu. Yaan una lock screen mtu akitaka kuitumia aingize password
3 Reactions
16 Replies
543 Views
Hapo pichani ni Submeter ya Umeme niliyoikuta kwenye nyumba ya kupanga Ina namba ya mita yenye tarakimu sawa na ya TaNeSCo. Naomba kufahamu Inafanyaje kazi
2 Reactions
9 Replies
560 Views
Simu yako inapata Sana Joto !!! Ulikua unatumia simu fresh tu ghafla simu imebadilika na kuanza tabia za ajabu inapata joto sio mchezo ๐Ÿ˜, ukitumia kidogo ilo joto lake unaweza sema umechemsha...
6 Reactions
6 Replies
565 Views
Nilikuwa ninacheki Tv ya kununua, nikashangaa Mewe ni Tv cheap sana. Yani Hisense,LG, TCL inch 55' kariakoo wanauza around 1.2M halafu Mewe yenye sifa hizo hizo wanauza laki 8. Sasa nikajaribu...
11 Reactions
49 Replies
5K Views
Hello guys, Leo nimepita pita kwenye YouTube nikajaribu ku-download video kutumia third-party apps bila mafanikio nimekua nikitumia app kama vmate, freemaker nk ila kwa Leo zimenigomea. Kama Kuna...
0 Reactions
4 Replies
232 Views
Meta wameamua kuacha kussuport simu zenye Android KitKat (4.4) kwenda chini kuanzia Jan 1 2025. Baadhi ya simu maarufu ambazo zitaacha kufanya kazi ni Samsung: Galaxy S3, Galaxy Note 2, Galaxy...
0 Reactions
6 Replies
362 Views
Umeshindwa kupakua video na audio toka YouTube? Moja Kati ya mambo yanayowasumbua sana watu ni kuweza kupakua video pamoja na audio kutoka kwenye YouTube na kuweka kwenye simu yake? Kama...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni kwamba Tanzania nzima hakuna watu wanaotoa huduma ya DTG(Direct To Garment) Printin?
0 Reactions
1 Replies
131 Views
Habari za Asubuhi wataalamu. Kuna mahali nilinunua simu used Sasa kwenda home nika reset Kila kitu gafla ikaniletea huu ujumbe (33333) Unauthorized actions are detected on the device Accessing...
1 Reactions
3 Replies
263 Views
๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐˜๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฐ๐—ต ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ž๐—ฎ๐—น๐—ถ ?? Utafiti mpya umebaini kuwa mikanda ya saa za kisasa (smartwatch) zimejaa kemikali zenye sumu isiyoondoka kwenye mwili wako(forever...
3 Reactions
6 Replies
519 Views
ZIJUE MAANA ZA ALAMA TOFAUTI TOFAUTI ZA MITANDAO YA SIMU (G, E, 3G, H/H+, 4G, 5G, VoLTE) Hizi alama najua umewahi kuziona sana kwenye simu unapokua maeneo tofauti tofauti ya dunia na una uzoefu...
13 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama Kichwa kinavyojieleza hapo nataka kuagiza laptop Zanzibar au naweza kwenda mwenyewe nikabeba kwenye begi Je Bei ya ushuru ipoje na kama mzigo nimeweka kwenye begi bado nitatozwa ushuru...
1 Reactions
11 Replies
489 Views
Habari za asibuhi wakuu, Natamani kujua utofauti uliopo kwenye TV ya Hisense ya boksi jeupe na ile ya boksi ya kaki, na between the two ipi ni bora kuliko mwenzake? Waatalamu wa electronics na...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ