Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habarini wana jamvi teknolojia inazidi kukua na kadri siku zinavyo songa mambo yanazidi kuwa mazuri Leo nitawaletea iptv link yenye chanel michezo, tamthiliya na nyingine nyingi ila kabla...
0 Reactions
11 Replies
557 Views
✅35*0000*11# Hii code inazuia simu zote zinazoingia ama zinazopigwa kutokea mtandao wowote, Kutoa Piga #35*0000*11# ✅*33*0000*11# Hii ni code kwaajili ya kuzuia simu kutoka au kupiga, hii nzuri...
16 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu,, Sasa hivi home kwangu natumia Dishi ya Azam inayotumia docoder ya kawaida.. So naweza kupata Cam card pekee ili niweze kuweka kwenye TV yangu bila kutumia decorder.. maana hii CamCard...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu nauza simu hiyo gb64 ram 3gb used nimeitumia miezi kadhaa
3 Reactions
20 Replies
472 Views
Wakuu Msaada pls, Nimenunua Hisense dukani, nakuja home nimenotice kila baada ya muda flani sauti inajishusha mpk 0..na pia kuna kaujumbe kanaanzia na REVERT. Nisipobonyeza any button TV...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Imezoeleka Kwa wengi kutumia Namba ya simu kama 2FA. Sasa tukija kuangalia usalama kawaida Huwa ni ndogo kwasabu zifuatazo. Email inbox na outbox hazijifuti kama ilivyo kwenye WhatsApp. Vyombo...
3 Reactions
4 Replies
563 Views
Vifurushi vilivyopo: - Tsh 10,000 lite - Tsh 18,000 pure - Tsh 23,000 plus - Tsh 28,000 play Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo! Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000...
0 Reactions
8 Replies
32K Views
Naenda moja kwa moja kwenye mada! Nime-boot flash na kuweka humo Windows 10, baada ya ku-restart na kubonyeza F9 na kupata chagua la USB kila nikiichagua hilo chaguo computer inajirudi sehemu ya...
1 Reactions
2 Replies
155 Views
Kuna hako ka Pembe tatu karibu na Bar za Network naomben Kujua zinamaanisha nn maana nimejaribu kuzitoa nimeahindwa Nina wasiwasi isijeikawa wameni track
4 Reactions
14 Replies
373 Views
Kuanzia Plate number AAA mpaka E ya mwisho, kuna magari mangapi Hint: Kuna herufi za platenumber huwa zinarukwa
1 Reactions
8 Replies
428 Views
Habari Ni App gani au link gani naweza kutumia ku download video toka YouTube? Mana karibu siku ya pili sasa site nyingi zinanigomea ku download videos toka YouTube
3 Reactions
7 Replies
364 Views
Baada ya jamaa wa GURU TUnnel kuweza kuweka mahusiano mazuri na www.facebook.com sasa ni rahisi kwa mimi kuwapatia member wa JF a good and cheap way of browsing internet. bila ya kohofia...
23 Reactions
443 Replies
42K Views
Jinsi ya Kuzalisha Umeme wa Upepo na Umeme wa Jua kwa Kutumia Treni Ikiwa Kwenye Mwendo wa Kasi Kutumia treni za mwendo wa kasi kuzalisha umeme wa upepo na umeme wa jua ni wazo la kiubunifu...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Habari na poleni na majukumu wanajukwaa, Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za...
1 Reactions
3 Replies
661 Views
SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO LA UMEME NA SOLUTION ZAKE Habari wanajamvi, Napenda kuwakaribisha katika majadiliano ya tatizo hili ambalo limekuwa likisababisha majanga...
45 Reactions
85 Replies
41K Views
Habari wataalamu. Nina laptop yangu HP touch screen. Mwanzoni mpaka juzi nilikuwa naingia vizuri tu katika website mbalimbali. Cha kushangaza kuanzia juzi inakataa. Ila wifi inaunga vizuri tu...
2 Reactions
12 Replies
427 Views
Kuna Post Mdau kauliza Duka gani lina reputation nzuri ya kuuza SIMU ZA SAMSUNG ORIGINAL NA SIO REFURBISHED? Nimeona nijibu kama Post Mpya kwa Faida ya wengi, kwa miaka mingi niliyouza...
34 Reactions
94 Replies
6K Views
𝗙𝗮𝗵𝗮𝗺𝘂 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗰𝗵𝗼𝘇𝗶 Nazani umeshawahi kusikia sijui polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya kikundi fulani Cha watu mahali fulani JE hayo mabomu ya machozi ni kitu gani ? kwa...
3 Reactions
5 Replies
347 Views
Mimi ni mwanamke nipo below 35yrs ,nilikuwa natafuta skills mpya ya kujifunza ndiyo nikajipata kwenye hiyo data analytics, mimi chuo nimesoma procurement&supplies management je nitaweza kutoboa...
10 Reactions
141 Replies
9K Views
Naomba wataalam mnijuze. Kwa simu ya Oppo R9 Plus
3 Reactions
1 Replies
168 Views
Back
Top Bottom