Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu, nina uhitaji wa flash disk. Wala sina mpango wa kuagiza nje ni emergency hivyo itabidi ninunue madukani, nipo mkoani brand zinazotamba ni Kioxera, Toshiba, Imation, Sandisk...
2 Reactions
15 Replies
757 Views
Wengi tumekuwa tukiona walinzi wa viongozi wakubwa wakibeba briefcase na kufikiri Huwa wanabeba documents lakini kazi kubwa ni zaidi ya kubeba documents. Briefcase hutumika kama silaha na pia vile...
9 Reactions
30 Replies
969 Views
Muda mwingi nakuwa mbali na Computer,natumia nokia 6630 napopata data za PDF nashindwa kuzisoma....Nisaidien jaman kama ipo nidownload.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi. Au uwezo wake umeishia hapo?
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari wakuu Pc yangu aina ya Lenovo imekumbwa na virus hali inayo sababisha kuwa nzito, movie ku-scratch, kujitype yenyewe mfano kwenye search bar yani mambo ni mengi mno. Nimejaribu mara...
1 Reactions
1 Replies
160 Views
WhatsApp business yangu kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikinisumbua inakuw ina logout na kunisubirisha baada ya masaa 24 tena ndy niweze kujaribu kuingia tena, na yanapofika masaa 24 niki verify...
2 Reactions
13 Replies
417 Views
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania. Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze. Najua humu kuna...
20 Reactions
101 Replies
2K Views
Njoo nikutengenezee PayPal ya UNITED KINGDOM UK na utaweza kutoa pesa zako kwa mpesa tigo pesa na airtelmoney yako kirahisi zaidi PATA PAYPAL YAKO LEO KWA 40K TU .
3 Reactions
18 Replies
840 Views
Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi. Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika...
2 Reactions
15 Replies
365 Views
Habarini wanajukwaa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza...
11 Reactions
95 Replies
2K Views
I am using a MacBook A1708 and have been experiencing an issue with its sleep and power functionality: 1. When I close the lid after using the MacBook for a while and reopen it, the screen...
0 Reactions
1 Replies
148 Views
Hizi router zimekuwa mzigo kubeba, nimemiss kutembea na pocket router inayobebeka mfukoni Mwanzoni nilidhani line imefungiwa kusoma kwenye imei moja tu lakini nimetest kwenye router kama yangu ya...
0 Reactions
15 Replies
706 Views
Hbr wadau, Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie Ahsante
0 Reactions
132 Replies
64K Views
Shida yake ni moto tu inajiwasha na kujizima. Muonekano wake ni kama hapo pichani.
4 Reactions
9 Replies
225 Views
Habari makuu,hivi karibuni kuna mradi nilikua najaribu kutengeneza na kukwama katika kipengele cha namna clients wanaweza fanya nalipo...
2 Reactions
6 Replies
151 Views
Simulator Games ni michezo inayolenga kutoa uzoefu wa maisha halisi kupitia mazingira ya kidijitali. Michezo hii inahusisha kuiga shughuli mbalimbali za kila siku au za kitaalamu, kama vile...
21 Reactions
25 Replies
1K Views
Unamiliki app? Unafanyaje monetization? Changamoto gani unakutana nazo na unatatuaje?
2 Reactions
6 Replies
228 Views
Wakuu. Sahivi naona kila kampuni la simu either lina models za ku-flip au ku-fold na kama hazipo sokoni basi wapo mbioni kutoa. Ni trend inayofanya vizuri. Sasa hivi hadi makampuni ambayo uwa...
0 Reactions
5 Replies
311 Views
Habri waungwana, Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na...
0 Reactions
6 Replies
322 Views
Step 1: On the remote press menu, then choose 'Advanced options' then choose 'Dish installation' Step 2: the pin code is 9949 Step 3: You will notice a screen that has Network 1, Network 2...
1 Reactions
56 Replies
44K Views
Back
Top Bottom