Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari ya jioni wana jamiii, nimekutana na hizi wires speaker tofauti tofauti na kwa bei tofauti tofauti, lakini kuna hizi Jbl wana speaker zao zinakwenda bei hadi laki saba na nusu mfano ni hiyo...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kama mada inavyojieleza, kwa aliyewahi install hii software katika PC alitimia njia gani akafanikiwa na ikafunguka vema. Mimi imenitesa sana na nimetumia muda mrefu sana lakini wapi, wana tech...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Namna ya kutambua Kama simu Yako ni feki Unajua unaweza kutambua simu ambayo unapenda kuitumia Kama ni feki au original kabla ujainunua ?? Hii ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi Sana...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Leo nimekumbuka jinsi Selfie Stick ilivyokuwa gumzo mjini. Slay queens na Ma brazamen ilikuwa kila weekend au kwenye event Full kukenua. Now it's gone unaonekana wakuja...
7 Reactions
90 Replies
9K Views
Jamani wanajamvi, je ili niweze kumonetize you tube channel yangu, hiyo channel yenyewe inahitaji iwe na vigezo gani?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwema wakuu! Kuna hili tatizo nalipata kwenye chrome. Huwa kuna muda kuna kitu kina-jidownload lakini niki click kwenye download ili nikistop hakionekani. Niki-Click kama nataka ku-exit chrome...
1 Reactions
7 Replies
725 Views
Nimejaribu kwa muda mrefu lakini imebaki kwenye 0% Mwanzo inataka nitumie WiFi
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Karibu tena jamaniina leo nakuleteya kitu ambacho ulikuwa unatamani ukifanye alafu unashiindwa.. kuna wakati unahitaji sana kutengeneza Android Application lakini haujui kuhusu lugha inayotumika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wataalam nifafanue kidogo ni kwamba kuna wakati huwa nalifuta faili la whasap kisha nalirudisha. Sasa hapo ndio huwa shughuli inaanza au tuseme vita ya kiev na moscow inapoanza meseji...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba msaada, namba yangu ikipigwa nikichelewa kupokea simu yangu anapokea mtu mwingine ambaye simjui. Natumia Samsung J7 Pro Sent using Jamii Forums mobile app === Suluhu iliyomsaidia kuondoa...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Wakuu kwa bahati mbaya kioo cha kamera ya simu yangu aina ya Infinix Hot 11 (kamera tatu Kwa nyuma). Kimecrack hivyo kufanya camera kutokupiga picha angavu. Msaada Kwa wapi naweza pata replacement...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii inasaidia sana kuwa productive na kuweza kufocus na mambo muhimu badala ya kukesha instagram au ukicheza candy crush saga. Ingia settings bofya screen time turn on screen time kama...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari Wakuu. Naomba niuweke huu Uzi hapa kwa sababu nyuzi nyingi za mrengo wa teknolojia nikiziweka kwenye jukwaa husika hazipati views za kutosha. Naomba programmers/developers wa Blockchain na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
naomba kujua app au software ambayo inauwezo wa hack simu(calls & messages) bila kuwa nayo physically.
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Nadhani wale wenzangu na mimi mnaotumia Paypal mlishawahi kukumbana na tatizo la paypal kushikilia pesa yako kwa miezi 6 na kisha baada ya hapo kukwambia uitoe ila option iliyopo ni kupitia...
6 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari waungwana.. Naombeni msaada juu ya namna gani naweza kupata driver ya printer hp deskjet 2320, natumia Window 10,Version 20H2 Os build 19042.746. Nimejaribu kudowload(Hp smart, hp easy...
0 Reactions
3 Replies
992 Views
Habari wanaJamiiForums Nina mpango wa kusajili website yangu itakayohusu masuala ya kitaaluma, na nilitamani iwe na kikoa cha DOT ACADEMY (.academy) ukizingatia kwamba kwa . TZ sijaona domain...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba kufahamu kati ya Computer science, Computer engineering, IT na ICT ipi ni Bora na inafursa nyingi sokoni.?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wapendwa , Nimefanikiwa kudownload game la PS3 "The evil within" kutoka torrent site, na sasa napata shida ni namna gani nitaweza install katika PS3 Jailbroken yangu. Naona kila mbinu...
0 Reactions
32 Replies
11K Views
Habari za muda wakuu, Napenda kujua taratibu za kuagiza simu china na south korea maana kuna chimbo nimepata ya kupata Refurbished phones kwa bei kitonga sana ila nmejaribu kuwasiliana na ARAMEX...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom