Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Instagram wazindua mfumo wa kutoa taarifa kuhusu watoto waliopotea kwenye eneo lako !!! Moja kati ya mtandao unaotumiwa na wengi ni Instagram huna jumla ya watumiaji zaidi ya bilioni moja...
0 Reactions
1 Replies
375 Views
No need to say more, Hii game Kali sana wakuu. Grafix nzuri pia multiplayer options nzuri sana. Nimependa pia option ya kucheza huku mnaongea (voice chat), nimepata marafiki Malawi na Zambia na...
4 Reactions
9 Replies
631 Views
Kwema Wakuu? Mafundi simu upande wa software na wadau wote mnaofahamu matatizo ya software za simu,nisaidieni utatuzi. 1:Vida k242(voda kitochi) APP ya contact inafunguka lakini haiwezekani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the...
1 Reactions
1 Replies
847 Views
Wana JF naomba msaada kwa yeyote anayejua namna ya kuseti fingerprint kwenye simu aina ya TECNO CAMON 16. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari! Naomba kuuliza hivi Gta 5 mission yake ya mwisho ni ipi kwa wale waliocheza maana nimechaza hapa so sioni mission nyingine
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii Drone X Pro ni ndogo kwa umbo lakini inasaidia sana kukuwezesha kupiga picha mbalimbali khasa zile za selfie. Inafanyaje kazi Unachotakiwa kwanza ni kufungua app yake ya Drone X Pro...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Wadau Watalaamu wa TV naomba kuelimishwa juu ya TV aina ya SAMSUNG kutoa tumistari kwenye Screen TATIZO ni nini? Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna wakati unahitaji kuhifadhi vitu vyako kwenye Hali ya usiri sio kila mtu hajue mambo yako binafsi ndo maana tunashauliwa kutumia external hard disk kuweza kuhifadhi vitu vyetu. Unajua...
2 Reactions
0 Replies
707 Views
ACHANA NA HDD KUANZIA SASA TUMIA SSD !! Je unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi vitu vyako !! Je hard disks Yako imepungua Kasi kwenye kutuma au kurusha kitu ? Au unatafuta sehemu salama ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna progrmammes ambazo unaweza kusi download kwenye simu ambazo unaweza kupima eneo lako (area, perimeter etc) na accuracy ya juu. Please mwenye kujua programe hiyo anisaidie inaitwaje.
0 Reactions
3 Replies
684 Views
Kompyuta au laptop Yako inashindwa kuunganisha na wifi !!! Wifi imekua teknolojia muhimu Sana kwa muda mrefu kwenye simu au kompyuta zetu , mara nyingi tunaichukulia ni rahisi Kama vile umeme...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa wa namna ya ku quote link ya thread fulani! Kwa mfano labda mtu aliweka thread yake sasa nataka ku quote kile kichwa cha habari (link). Sijui nimeeleweka! Mfano kama wewe...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Hivi karibuni kampuni ya kiteknolojia ya kusambaza huduma za internet kwa njia ya satellites ya starlink inategemea kuanza kuhudumia nchi hizo tajwa hapo juu. Inatajwa kuwa nchi hizo zitakuwa za...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukifanya nitachukua na kumpa majibu huyu mwanafunzi!
0 Reactions
4 Replies
465 Views
Nipo Morogoro msamvu stend jirani kuna ghorofa la Morena Hotel! Hii hotel ina huduma ya Wifi bure kabsa na password zake lakini simu yangu kila niki search ili ni connect haitaki simu yangu ni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wakuu, natumau hamjambo Ndugu nimeskia Kuna app maalum kwa ajili ya viziwi ambayo inawasaidia pale mtu akikupigia ukipokea simu yule mtu akiongea ile app inakuletea maandishi kwenye...
1 Reactions
6 Replies
367 Views
Ni wiki ya Pili sasa kila ninavyojaribu kuflash inanisumbua wakati mwingine inasema Cant connect Port serial com au inaganda kwenye Super Img..... Nani ana Idea na hizi Simu?
1 Reactions
6 Replies
768 Views
Back
Top Bottom