Jana nilizima laptop yangu ikiwa inafanya kazi vema lakini leo nimeiwasha inawaka lakini haidisplay chochote nimejaribu zaidi ya mara ishirini
Je tatizo linaweza kuwa ni nini????? wataalam...
Africa's forests are disappearing faster than those in other parts of the world because of a lack of land ownership, a report says.
Less than 2% of Africa's forests are under community control...
Nina lap top ambayo kirus kimekuwa operating file. utaalamu wangu mdogo kwenye mambo ya compyuta umenifanya nifikie uamuzi kuwa the best solution to ku-reformat the lap top. Lakini nimegundua kuwa...
Wapo watu wengi wanakuwa wanalalamika kuhusiana na email zao kuunganishwa bila hiari zao kuingia kwenye hii Bidii Afrika Google Group ya rafiki zetu toka Kenya.
The way forward to get your email...
Wakuu ktk nyanja ya kiteknolojia; wiki hii nimeletewa Laptop Dell Vostro 1500 ina tatizo lifuatalo: -
Ukiiwasha baada ya kuload kila kitu na ku-login ktk profile husika inaingia moja kwa moja ktk...
TUTUMIE MTANDAO KUJITANGAZA NA KUJENGA
NDUGU WATANZANIA POPOTE MLIPO
Napenda kuchukuwa fursa hii kuandika jambo kidogo kuhusu suala hili la mtandao , jinsi tunavyoweza kujenga mitandao yetu...
Sisi wengine kuandika msg kwenye sim tunaona mzigo. Mfano ukitaka kuandika 'Z' hadi uminye mara 4! Sasa hii ni kero na inapoteza muda. Mbona english inakuwa simpo? Hakuna waswahili wanaoweza...
Nahitaji kununua LCD Projector ambayo inaweza ku-display images from at least a 30-feet distance.
Kuna rafiki amenishauri kuwa anything ambayo ina at least 2000 lumens inaweza kutua picha mzuri...
Wakuu nimekuwa nikiangalia Youtube videos hapo kabla, lakini siku za hivi karibuni kila nikitaka kuplay ninashindwa, badala yake inakuja message hii:
Hello, you either have JavaScript turned off...
I partitioned my laptop which was originally 80GB C:\ into drive C:\ 25 GB and Drive D;\ 55GB using Magic partition software.
Drive C I use only for program files, But it seem is almost full ...
Habari za asubuhi wanaJF,
nina tatizo moja ambalo linanisumbua sana,nina hdd ya 80gb ambayo nimeiwaka kama slave kwenye pc yangu,cha kushangaza ni kwamba ilipungua size toka 80gb mpaka...
hey guys. Which site can i find a free proxy software for windows. Nimeona kuna source ya squid lakini inahitaji niwe na visual c++ compiler ili niifanyie compilation. Zipi zingine ni za free...
Habari za mishughuliko wana JF,
Naombeni mnipe msaada wa kiteknologia. Nimenunua INTEX TV TURNER na nimeitumia kuconvert VHS TO DVD lakini tatizo ninalopata ni kwamba, output ya video ninayoipata...
Wataalam naomba mnisaidie kuirejesha volume control kwenye taskbar. Nahisi nime delete kimakosa. Nikajaribu kwenda kwenye sound and audio devices na ku tick ile box, imekataa na inasema the volume...
A complex new malware attack is setting infection records and raising serious alarms in the security community.
Known unofficially as 'Gumblar' for one of the attack domains, the malware uses...
As a hobby, I have been playing around with my car's computer in order to maximize the car's performance. Part of the reason for modifying the computer was to enable the car to accept the...
There is no doubt that cybercrime is an image nightmare for Tanzania. The recent Attacks on our Local Banks and other Places is an indication that cybercrime is a source of concern and...
What is XviD Codec?
Xvidcore.dll is installed on your Windows computer when you install the XviD codec. You need to install this codec in order to play the XviD movies on your system. After...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.