Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari ya wakati huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why...
1 Reactions
5 Replies
324 Views
Habari wakubwa, moja kwa moja kwenye mada. Kuna Tv aina ya LG yenye specifications zifuatazo Model no : Lg 43LM6300PVB 0A1L00B2 (370/550) Power : AC 100-240V ~ 50/60 Hz/ 68 W Serial no ...
1 Reactions
13 Replies
612 Views
My kindle paperwhite imestuck. Doesn't charge and doesn't reboot. Nimejaribu all means like pressing the power button for more than 60 seconds but all in vain. Please help
0 Reactions
5 Replies
145 Views
FCC sasa imeipa kibali Space X kulink smartphone na StarLink (Direct to Cell) yaani bila kutumia madish yao ya starlink kama tunavyosubili hapa bongo, hii feature ipo kwenye Generation ya pili ya...
5 Reactions
11 Replies
757 Views
Google You've closed your Google payments profile Hello from Google, You recently closed your Google payments profile. You'll still be responsible for outstanding balances. Most customers can...
0 Reactions
1 Replies
203 Views
Wana ndugu naomba msaada. Nina laptop aina ya hp elite book, nilinunua ya mtumba na haikuwa na shida yoyote but hivi karibui kitufe kimoja cha backspace kimekuwa kinasumbua kwa kikataa kurespond...
2 Reactions
4 Replies
468 Views
Hey guys, I’m reaching out with a heavy heart and a strong desire to change my current situation. I’ve been working in a low-paying marketing job for nine years, applying for better opportunities...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Za muda huu wanajamvi, Ni muda sasa wasap yangu haina jina lolote nkijalibu kurefresh naambiwa list ya majina imekuwa updated naomba msaada maana napitwa mambo mengi ya msingi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, poleni kwa majukumu ya pilika pilika ya kutafuta pesa. Jamani naombeni ushauri wenu. Nyumbani nina TV aina ya Samsung zile za South Africa inch 32. Leo dogo ameiangusha hiyo...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
ZenoPay ni mfumo wa malipo wa kisasa unaotoa suluhisho rahisi na la haraka kwa biashara na wajasiriamali wanaohitaji kupokea malipo kwa urahisi. Hapa chini ni baadhi ya faida na njia za kutumia...
0 Reactions
1 Replies
193 Views
Jambo wapendwa wa jamii forum. Ni matumaini yangu mko poa wote, kwa wenye changamoto nawaombeeni kwa Mungu awafanyie wepesi. Moja kwa moja kwenye mara. Karibuni nimekuwa nikipata uzoefu mbaya...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Wazee wenzangu, nahitaji application nzuri ya kumchunguza mtu, nisome meseji zake, WhatsApp na simu zake zinazoingia na kutoka.. Lengo la kutaka hii app: Nina shemeji yenu tumekuwa kwenye...
7 Reactions
201 Replies
26K Views
Ulishawahi kuskia au kuona robots wenye uwezo wa kutake care of patients, magari yenye uwezo wa kujiendesha yenyewe, Games, System zenye uwezo wa kumanage kazi zote za kampuni, websites(tovuti)...
9 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu nataka kutungeneza API sasa nilikuwa naomba muongozo kwa ujumla ni lugha gani zinatumika, fiaida na hasara ya lugha husika in general kuhusiana kutengeneza API.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kutokana na kukithiri kwa foleni za barabarani, kwa sasa kuna haja ya kuanza kuagiza yale magari yanayopaa angani. Magari haya yatakuwa dual in nature, yaani yatakuwa na uwezo wa kutembea...
0 Reactions
74 Replies
19K Views
Mimi sio mtu wa IT . Nahitaji mtaalam wa kunitengenezea Application Kwa matumizi fulani kulingana na maelekezo nitakayompa na yeye kuongezea ideas zake. Nikawaza option ya kwenda Chuo Kikuu...
2 Reactions
12 Replies
469 Views
Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max. Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16...
38 Reactions
189 Replies
8K Views
𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗜 𝗡𝗚𝗨𝗠𝗨 𝗠𝗪𝗜𝗭𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗠𝗔 𝗔𝗨 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔𝗞𝗼 Watu wengi walikua wakiibiwa simu zao mwanzoni wezi walikua wanakua na uwezo wa kufuta Kila kitu kwenye simu kwa urahisi...
3 Reactions
1 Replies
311 Views
Mwaka huu zimetoka simu nyingi sana ila Mchina kanifurahisha zaidi. Kampuni ya Xiaomi imetoa flagship zao mpya October mwaka huu ambazo ni Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro. Nadhani zinastahili kuwa...
14 Reactions
72 Replies
7K Views
Habar za wakat huu mabibi na mabwana, naomba kujitika kweny mada husika kama kichwa cha habar kinavojieleza. Nimekuwa mtumiaji mzuri na wamda mrefu wa application ya Dstv now mpka sasa...
0 Reactions
7 Replies
450 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…