Habari ya wakati huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why...
Habari wakubwa, moja kwa moja kwenye mada. Kuna Tv aina ya LG yenye specifications zifuatazo
Model no : Lg 43LM6300PVB 0A1L00B2 (370/550)
Power : AC 100-240V ~ 50/60 Hz/ 68 W
Serial no ...
My kindle paperwhite imestuck. Doesn't charge and doesn't reboot. Nimejaribu all means like pressing the power button for more than 60 seconds but all in vain. Please help
FCC sasa imeipa kibali Space X kulink smartphone na StarLink (Direct to Cell) yaani bila kutumia madish yao ya starlink kama tunavyosubili hapa bongo, hii feature ipo kwenye Generation ya pili ya...
Google
You've closed your Google payments profile
Hello from Google,
You recently closed your Google payments profile.
You'll still be responsible for outstanding balances.
Most customers can...
Wana ndugu naomba msaada. Nina laptop aina ya hp elite book, nilinunua ya mtumba na haikuwa na shida yoyote but hivi karibui kitufe kimoja cha backspace kimekuwa kinasumbua kwa kikataa kurespond...
Hey guys,
I’m reaching out with a heavy heart and a strong desire to change my current situation. I’ve been working in a low-paying marketing job for nine years, applying for better opportunities...
Za muda huu wanajamvi,
Ni muda sasa wasap yangu haina jina lolote nkijalibu kurefresh naambiwa list ya majina imekuwa updated naomba msaada maana napitwa mambo mengi ya msingi.
Habari zenu wana JF, poleni kwa majukumu ya pilika pilika ya kutafuta pesa.
Jamani naombeni ushauri wenu. Nyumbani nina TV aina ya Samsung zile za South Africa inch 32.
Leo dogo ameiangusha hiyo...
ZenoPay ni mfumo wa malipo wa kisasa unaotoa suluhisho rahisi na la haraka kwa biashara na wajasiriamali wanaohitaji kupokea malipo kwa urahisi. Hapa chini ni baadhi ya faida na njia za kutumia...
Jambo wapendwa wa jamii forum. Ni matumaini yangu mko poa wote, kwa wenye changamoto nawaombeeni kwa Mungu awafanyie wepesi.
Moja kwa moja kwenye mara. Karibuni nimekuwa nikipata uzoefu mbaya...
Wazee wenzangu, nahitaji application nzuri ya kumchunguza mtu, nisome meseji zake, WhatsApp na simu zake zinazoingia na kutoka..
Lengo la kutaka hii app:
Nina shemeji yenu tumekuwa kwenye...
Ulishawahi kuskia au kuona robots wenye uwezo wa kutake care of patients, magari yenye uwezo wa kujiendesha yenyewe, Games, System zenye uwezo wa kumanage kazi zote za kampuni, websites(tovuti)...
Wakuu nataka kutungeneza API sasa nilikuwa naomba muongozo kwa ujumla ni lugha gani zinatumika, fiaida na hasara ya lugha husika in general kuhusiana kutengeneza API.
Kutokana na kukithiri kwa foleni za barabarani, kwa sasa kuna haja ya kuanza kuagiza yale magari yanayopaa angani. Magari haya yatakuwa dual in nature,
yaani yatakuwa na uwezo wa kutembea...
Mimi sio mtu wa IT . Nahitaji mtaalam wa kunitengenezea Application Kwa matumizi fulani kulingana na maelekezo nitakayompa na yeye kuongezea ideas zake.
Nikawaza option ya kwenda Chuo Kikuu...
Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.
Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16...
𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗜 𝗡𝗚𝗨𝗠𝗨 𝗠𝗪𝗜𝗭𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗠𝗔 𝗔𝗨 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔𝗞𝗼
Watu wengi walikua wakiibiwa simu zao mwanzoni wezi walikua wanakua na uwezo wa kufuta Kila kitu kwenye simu kwa urahisi...
Mwaka huu zimetoka simu nyingi sana ila Mchina kanifurahisha zaidi.
Kampuni ya Xiaomi imetoa flagship zao mpya October mwaka huu ambazo ni Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro.
Nadhani zinastahili kuwa...
Habar za wakat huu mabibi na mabwana, naomba kujitika kweny mada husika kama kichwa cha habar kinavojieleza.
Nimekuwa mtumiaji mzuri na wamda mrefu wa application ya Dstv now mpka sasa...