Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tumekuwa na channels nyingi ambazo zinapatikana free ila changamoto ni zimekuwa katika satellite tofauti tofauti mfano clouds TV 3e,clouds international 75e, tve 75e, wasafi tv78e, dira na star TV...
4 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu habarini za mizunguko ya hapa na pale, ni matumaini yangu ni wazima wa afya. Ninahitaji kufanya biashara online, kwa kulitambua hilo nahitaji kujitangaza hivyo basi nahitaji kuwa na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
naombeni wakuu namna ya kufanya ili kupata followers instagram ni vipi wakuu??
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada simu yangu Huawei Y7 2018 prime imekataa kufungua app zote za Google na ku sync data pia kila nikiingiza email yangu ya account ya Google na password inakubali ila inaleta...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba msaada wa hiyo app kama kuna mtu mwenye link ya Poweramp Premium. Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wakuu. Thank you. Chief-Mkwawa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu kwema. Kama mada inavyoeleza hapo juu. Ikiwa kuanzia generation ya 4 itakuwa better. Naombeni mwongozo.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Haya wapendwa katika bwana, ndugu yenu mnisaidie sasa, weekend hii tumeongeza tv nyingine kumbe inaking'amuzi kwa ndani!! Kuna mtu akanambia ukiweka antena zile za ndani utapata free chanels...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu nawasalimu, Simu yangu (Samsung A50) ilipasuka camera so inatoa picha zenye ukungu, simu bado ni nzima kwa kila idara ba inakidhi mahitaji yangu isipokuwa huo ubovu wa camera pekee. Sasa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini watu wa Mungu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni msaada nimehangaika kweli kweli mathsjery
2 Reactions
4 Replies
845 Views
I am currently using fmwhatsapp 8.35 and recently I have to receive notifications of new fmwhatsapp 8.40 updates regularly. I went to the vendor that I regularly updated but did not see the 8.40...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Perpetual motion machine; can we create one Katika pitapita zangu kwenye vitabu namekutana na hiki kitu perpetual motion, ambacho wanadai mpaka saiv ni theoritical Yan haiwezekan practically coz...
2 Reactions
9 Replies
776 Views
Kutokana na hofu ya Usalama, India imezuia upatikanaji wa 'App' 54 kutokea China. Tangu mvutano wa kisiasa kuibuka kwa mara ya kwanza na China Mwaka 2020, India imepiga marufuku jumla ya 'App' 321...
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Habarini bandugu! Hivi ni kwenye simu yangu tuu au ni ukweli kwamba kwamba Tweeter ipo chini? Kama ipo chini naamini kwa asilimia 100 kuwa kuna uhusiano na kile kinachoripotiwa na Martin kutoka...
0 Reactions
3 Replies
680 Views
Mtandao wa Facebook ulio chini ya Meta umeboresha katika sehemu ya mazungumzo yake ya messenger. Ikumbuwe Messenger pia imeunganishwa na Facebook hivyo Mtu anaweza kuchati Messenger kwa kutumia...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Fahamu hili ➡ kuna website inaitwa WWW.RAINYMOOD.COM Hiii ni website ambayo inakupa uhalisia wa mvua yaani kama upo ndani itakufanya uhisi njee kuna mvua 💦💦💦hata kama kuna jua Kali kiasi gan...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu nina m1 cash now nichukue laptop gani nzuri si lazma iwe mpya hata refurb sio mbaya nisaidien wadau iwe na spec gani? Kama kuna mdau anauza anicheki inbox au hapa hapa deal lazma owe leo...
0 Reactions
5 Replies
701 Views
SALUTE Inafahamika kua Tanzania ni moja kati ya nchi zenye amani na uhuru duniani, hii inatufanya Kujitamba na kutembea kifua mbele ya mataifa mengi hasa ya Afrika kua tuna amani na furaha zaidi...
21 Reactions
77 Replies
11K Views
mashine yangu haina wifi kuna namna yoyote naweza fanya ika connect wifi kutoka kwa simu yangu
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Je, application ipi ni nzuri kutenganisha kati ya wimbo na melod?
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu, Nimekuwa nikitafiti kujua simu gani ya Samsung naweza kuipata kwa bajeti ya sh 500,000/- nikaona kwa kiasi hicho naweza kupata Samsung Galaxy A22 au Samsung Galaxy S8+ ya mwaka 2017...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom