Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani battery langu la simu niliona limekwisha kuanza kupunguza ubora Hadi kufika nusu ya mdaa wakukaa na charger Sasa nikasema isiwe kesi nikanunulia battery jingine Cha kushangaza battery...
1 Reactions
6 Replies
978 Views
Wakuu habari Na movie zangu nimedownload kwenye Tab nataka niziangalie kwenye Tv Nina Samsung Galaxy Tab A ina run Lolpop Kila niki connect kama mass storage kwenye Tv yangu Star-x, Tab...
0 Reactions
4 Replies
966 Views
Wakuu ninilikua na enjoy sana game la “Drafti” kwenye Android Game la Checkers by Dalmax lilikua lina sheria za kibongo Sasa kwenye iOs kila game ninaloshusha nakuta halina sheria kama...
3 Reactions
4 Replies
694 Views
Leo nimetoa shilling 35,000 kununua bando la internet Vodacom nikapata gb 25, hii hela inabidi izalishee hela nyingine kwa kupitia mtandao, nitaletaa mrejesho hapa
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari jamani naomba kufahamu kama kuna mtu aliyewahi lipwa kwa kutizama video mtandaoni maana kuna jamaa kanitumia link anasema aliwahi lipwa naomba uzoefu kwa mwingine aliyewahi lipwa au mwenye...
1 Reactions
6 Replies
782 Views
Habari za muda huu wadau, naombeni mawazo ni package gani kati ya hizi mnanishauri nichukue itanifaa kwenye biashara yangu hii mpya ya library ambayo inahitaji huduma ya Internet ili nidownload...
5 Reactions
42 Replies
6K Views
hABAR WADAU Fax ndio kitu gan na nawezaje kikitumia apa ofisin kuna orinter kubwa ina fax ndan yake ila hiki kitu ni kigen sana kwangu nimeiconnect na ethernet cable from zuku fiber sasa nimebaki...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Matajiri wawili wakubwa duniani waliwahi kutoa maoni yao juu ya uwezo wa computer; Elon Musk yeye alisema computer ni smart zaidi ya binadamu kwenye maeneo mengi Jack Ma yeye alisema...
6 Reactions
120 Replies
8K Views
Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Sweden, Kampuni ya DSurptive Subdemals nchini Sweden imetengeneza chip itakayoingizwa mwilini mwa binadamu ili kuweza kuhifadhi na kuhakiki taarifa za muhusika kuhusu kupokea chanjo dhidi ya...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Wakuu nina ofisi inayonajishughurisha na software development, Juzi nimepata mteja ambaye anataka "School Management System" lakin anataka malipo yakifanyika kwenye account ya shule yaonekane...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarii wana familia mimi ni kijana niliemaliza Bachelor of science in information systems mwakaa huu. Nimekuja kwenu kwa ombi la kuomba kwa yoyote anaefahamu kuna sehem wanahitaji mtu wa I.T...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Wakuu nimejaribu njia zote zilizo ndani ya uwezo wangu nimeshindwa. Ukiweka Sim card tofauti haikupi uwanja wa kuandika unlock codes. Je kuna njia gani tofauti naweza jaribu. Shukrani.
0 Reactions
1 Replies
603 Views
GsmArena wamasema wamepata taarifa kwamba kampuni ya Samsung inayotarajiwa kuachia simu yake ya mwaka ama Flagship Phone ya S22 Ultra ambayo inatarajiwa kua na picha kali zaidi kuliko S21 Ultra...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Group Admin kuwa na uwezo wa kufuta jumbe kwenye group la WhatsApp. Mtandao wa WhatsApp kufanya maboresho na kuruhusu kiongozi wa kikundi (Group Admin) uwezo wa kufuta jumbe kwenye kikundi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HABARI WAKUU, Rejea kichwa cha habari hapo juu moja kwa moja kwenye moja nambili nikwamba tv yangu haichukui picha kupitia AV1 NA AV2 lakn ukichomeka kupitia mfumo huu wa (y cb cr) inaonesha lakn...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Pembeni hapo, imekaa kama servers vile Sasa najiuliza hivi gaming inahitaji servers za hatari namna hii?
6 Reactions
86 Replies
4K Views
Wakuu naomba kuuliza kama kuna Internet Download Manager App Kwaajili ya MAC Computers. Kama ipo naomba link
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wadau.. Ninaomba mwenye software zifuatazo anisaidie, ikiwezekana kama utakuwa na download link nipatie tafadhali (cracked/zipped) 1. Adobe Premiere Pro 2. Magic Bullet Suit 3. Bluff...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari wakuu? Ningependa kufahamishwa juu ya huu mtandao unaohusika na malipo ya USD 400 baada ya kutazama video online kama ni halali au utapeli. Yeyote mwenye ufahamu wa huu mtandao naomba...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom