Wakuu poleni na majukumu,
Naombeni msaada kwa yoyote anayeweza kufanya ishu zote za game Kama game installation game chipping na mengineyo nahitaji mafunzo anicheki tuone tunayajenga vp
Habari wana jf,
Samahani naweza kupata msaada ni kivipi naweza ku-download apps zinazo patikana play store ambazo hazipo kwenye App store tafadhari, naomba kuwasilisha
Habari za weekend wakuu...
Juzi kati nilikumbwa na tatizo la virus kweny home desktop, ni malware ambao wanaencrypt files na hizo files to be inaccessible mpaka pale utakapo lipa kiasi fulan cha...
Salam wakuu,
Mimi ni mpenzi sana wa FPS games zenye multiplayer option (online). Nimecheka games nyingi tu, Sasa kitambo nilisikia hii PUBG watu wengi wanaizungumzia. Ni game ambayo ipo almost...
Nina 500k mfuko wa shati hapa, naomba kufahamu ni simu gani nzuri ninaweza kupata Kati ya Hizo brand mbili. XIAOMI na SAMSUNG
NOTE; yenye uwezo mkubwa wa kukaa na chaji ( Betri capacity kubwa)
How to Protect Yourself from Online Shopping Security Threats
Here are easy actions which will reduce your risks during online shopping.
☑️ Update Your Browser and OS. These updates protect...
Miezi sita iliyopita kampuni ya Meta ilitoa Wallet yake ya Crypto ambayo inaitwa Novi Wallet na inatumia Stablecoin ya Pax Dollars (USDP) ambayo ni crypto yenye thamani sawa na Dola 1...
Wiki hii WhatsApp inaweka uwezo wa kuchagua mfumo wa Disappearing Messages katika chats zote mpya. Disappearing Messages ni option ya kuamua chats zifutike baada ya masaa 24, Siku 7 au Siku 90...
Habari wana JF?
Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi
Ahsante!🙏
Nina komputa ya HP (desktop) inasumbua kuapdate tarehe na saa , lakini ukiiunganisha ni intaneti hua inajiapdate bila ya hivyo unatakiwa kila unapoiwasha uirekebishe mwenyewe.
Naombeni msaada wa...
Habari zenu!
Naomba kujua nawekaje hela kwenye akaunti yangu ya Paypal kwa kutumia M-Pesa Mastercard na kuna makato yoyote? Nimelink Mastercard yangu ya mpesa kwenye akaunti yangu ya paypal...
Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
Habari za mahangaiko wandugu
Moja kwa moja kwenye mada nikwamba nilidownload app ya Bible and dictionary to playstore lakini nashangaa haionekani nikifungua menyu, ila kama nataka kumlushia mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.