Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Niliona mitandaoni hii redio kampuni ya aborder nataka kufahamu kwa wajuzi je redio hizi zinadumu na vp kuhusu quality ya mziki wake nimeona wanauza 120K
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hope mnaendelea vizuri na majukumu. Nilisahau simu sehemu kama dakika 5 tu kurudi haipo, naipiga Inaita tu but after 1 hour haiku patikana tena. Niliripoti Polisi Ili Iweze kuwa tracked maana...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
BLACKVIEW TABLETS Wakuu naomba kwa anaefahamu hizi tablets za blackview hasa blacview tab 9. hapa namaanisha ubora wake, durability yaan uimara, touch yake kama inadumu na mambo mengine.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama una computer ambayo ukiiwasha inawaka bila kuonesh kitu kwenye screen, tafadhali fuatilia kwa makini maelzo haya ambayo yanaweza kurudisha computer yako katika hali yake ya kawaida. Kwanza...
6 Reactions
21 Replies
29K Views
Mwenye Uelewa na simu aina ya Sony Xperia Xzs Atupe review yake
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kampuni ya MediaTek imetoa chip mpya ambayo itakuwa inatumika katika simu kali za bei nafuu ili kushindana na soko la Qualcomm. MediaTek inafahamika sana kwa kutengeneza processor za simu za bei...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Features Our 7th gen Qualcomm® AI Engine includes: 2x larger shared memory plus a 2x faster tensor accelerator 3rd Gen Qualcomm® Sensing Hub, featuring a Low Power AI System and the world’s...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Hawa jamaa washaona Africa tunabebwa tu na upepo pale A02 inapokua bora kuliko A10
2 Reactions
81 Replies
10K Views
Habari Mtu mwenye samsung s4 gb 16 au 32 nina shidq nayo saana hela ipo iwe kwenye good condition.
0 Reactions
6 Replies
559 Views
wakuu kwema, Kuna dada hapa Ana oppo R15 ukiiwasha inakuletea uingize password,Sasa yy alisahau nimejaribu kuformat inadai niingize password ,najua nitapata majibu sahihi hapa kama inawezekana...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Nawezaje kurudisha sms nilizozifuta? Kwa mdau anayejua namna naomba anielekeze
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Wajuzi wa mambo ya tech, mnisaidie. Mwezi uliopita nimeenda dukani kununua samsung a22 5g baada ya kuijaribu kwa siku mbili nikaona iko sawa ila kuna baadhi ya features kama auto call...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kama kichwa cha habari kivyo jieleza
2 Reactions
9 Replies
1K Views
1. Nasalmia. 2. Naomba kufahamishwa kama inawezekana kuzuia matangazo yanayotokea kabla ya kuplay video kule YouTube, na kama inawezekana ni kwa namna gani? 3. Shukrani na wakati mwema.
3 Reactions
10 Replies
709 Views
Salamu, Wakuu naomba kujua namna ya kupata templates au layout ya android app kwa ajili ya Blog yangu. Template au layout ninayoitafuta ni Ile iliyotumika kwenye app ya Mpekuzi, DJ mwanga n.k...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeona nishare na wapenzi wa Window phone. Ni ngumu sana kutoka Android kuingia Window phone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android... kwanza ina speed sana tena baada ya ku...
9 Reactions
571 Replies
66K Views
Habari 👋🏾 Nimekuwa nikikutana na vitu viwili toka kampuni ya Azam ambavyo ni AzamPay na AzamPesa kupitia mitandao na mifumo ya kidijitali, ningependa kufahamu ni nini, na shughuli yake kubwa ni ipi.
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Ni bank gani hapa Tz Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees). Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
HABAR WADAU Mambo ni mengi mda ni mchache ni ngumu kwa binadamu mmoja kupata taarifa zote so usishangae kuna offer tamu sana yenye discount ya kutisha ikakupitia hvhv ndio mana nimefungua uzi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
majuzi kati nmeona ndugu yangu anapata offer zenye GB za kutosha za halotel sinikakurupuka kwenda kusajili lain ya halotel kwa ajili ya matumiz ya PC na sipendi kushare MB via smartphone nikaweka...
5 Reactions
51 Replies
13K Views
Back
Top Bottom