Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau iyo alama inamaanisha nini? Nimeshindwa kutegua kitendawili icho. SIMU
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kueleweshwa. Ukienda kwenye hardware wanakuambia tunachanganya rangi kwa kompyuta. Hii maana yake teknokojia ipoje?
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Ni raisi sana kuiset smartphone yako iwe kama CCTV camera, IPwebcam ndio suluisho la tatizo ilo. Fatana name mpaka mwisho wa Tutorial hii. IPwebcam is easily the best of the lot because it works...
5 Reactions
6 Replies
8K Views
Core !5.....4generation....hard disk.. 1tb......8ram......graphics card....amd...rx....550...2gb.........gddr5.........monitor..multlsync ea291wmi... Nch..29 wide-screen 1080p .... Inakuja na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kitendawili Kiki kimenishinda
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft...
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Hili tatizo limeanza majuzi tu Sabufa langu main speaker inanguruma Kuna saa inatulia haingurumi but baada ya muda linaanza kunguruma? Je, tatizo ninini? Mwanzo lilikua likinguruma kwa nadra...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Habar za wikendi ndugu, kuna subwoofer yangu na TV kuanzia juzi zinatoa mlioa ka muungurumo wa genereta wakati mwingne zinatulia but muda tena huanza sasa sjui tatizo nini maana huo muungurumo...
3 Reactions
39 Replies
9K Views
Natafuta kifaa kinaitwa all in one bank kinaweza kutumika kucharge simu, kuonesha TV pale umeme hakuna.
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Wakuu nimekua nikitumia android 4.4.2 kwa sasa sina hela ya Surplus ili ninunue sim ya android ya juu zaidi Msaada kama naweza upgrade my phone at least kua android 5 au 6 mana mambo yangu mengi...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
How to generate or create Sitemap file for any website free Site ni file ambalo linaiwezesha search engine kama google au bing kuipata website yako kiurahisi kipindi watu wakisearch. Jinsi ya...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu kila mara nikitaka ku google kitu website ya google inakua haipatikani wakati nakuwa na bundle na website zingine zinafunguka fresh tu. Naibahatisha kwa nadra sana Natumia TTCL. Halotel na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toleo la China la Mtandao wa Kijamii wa TikTok linalofahamika kama 'Douyin' litadhibiti matumizi yake hadi dakika 40 kwa siku kwa Watoto walio chini ya umri wa miaka 14 Hatua hiyo inakuja wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zanguni Naombeni msaada juu ya hili tatizo, simu yangu inatumia LINE mbili sasa baada ya kufanya system update limeibuka tatizo la "SIM 1 not allowed". Nimejaribu kurestart simu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hatimaye siku mpya imewadia. Leo tarehe 14-09-2021, kampuni ya Apple inatarajia kuzindua ama kutambulisha bidhaa mpya sokoni. Bidhaa hizo zinazotegemewa kuzinduliwa ni Apple iPhone 13, Apple...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimeshindwa namna ya kuinsert moderm kwenye laptop kwa matumizi yangu ya internet Ninatumia lain ya Halotel ninaomba kuelekezwa namna ya kuset ili iweze kuunganisha internet. Naambatanisha...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wadau....Poleni na majukumu... Nahitaji msaada wenu Account yangu ya Instagram Inaandika hivyo kama mnavyoona hapo chini.. Nifanyaje ili hili tatizo? Msaada Plz #forgive me.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu, kwa sisi tunaopita kwenye website mbalimbali tumekuwa tukikutana na hiki swali mara nyingi,hasa website za technology,likitutaka kuthibitisha kwamba ni binadamu anaye peruzi, hivyo...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Kampuni ya apple leo itakua na uzinduzi wa bidhaa zake mpya zitakazoingia sokoni. Bidhaa hzo ni kama iphone 13, iphone 13 min, iphone 13 pro na iphone 13 pro max. Apple wamesema iphone 13...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Waheshimiwa, PRINTER ya EPSON L3110: Ina tatizo la kuwaka kwa ku_blink taa zote (nyekundu na kijani), Inaprint vizuri. Ila haitoi copy wala haiscan. Na ina miezi mitatu tu tangu inunuliwe...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom