Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za leo wakuu niko namiliki samsung yangu A02 ilipata ajali kwahiyo kwenye camera kuna ufa inaingiza uchafu mwingi sana kiasi kwamba hata picha haitoi vizuri nataka kubadili Camera Je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Souce: AfroIT.com Katika miaka ya themanini hadi mwanzo wa miaka ya tisini kitu kinachoitwa Kompyuta kilikuwa ni anasa.Hapa usiongelee Internet.Katika miaka hiyo matumizi ya Internet yalikuwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza...mwenye ujuzi huo tuwasiliane kwa no. 0627929637 NB: Ni yale ya kielektroniki yanayokaa juu mbele ya gari kwenye kioo.
0 Reactions
0 Replies
686 Views
'Back up' ni hatua muhimu ya #UlinziWaData kwani humsaidia Mhusika kutunza taarifa zake muhimu ili akipoteza kifaa chake au kikiharibika aweze kuzipata taarifa hizo Kuna majukwaa mengi yanayotoa...
2 Reactions
2 Replies
857 Views
Kuna tofauti gani kati ya aina hizi mbili za battery Li-Po na Li-Ion ipi ni bora.?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimenunua flash disc 32 gb nimeweka game Cha ajabu ni kwamba kila nilihitaji kucheza hizo game hazisomi nikienda kwenye zile file nayaona nikiselect inasema "This isn't Efl" Ni ipi solution ya...
2 Reactions
10 Replies
956 Views
Wazee wenzangu nahitaji msaada wenu kuna kitu naandaa ni kama documentary fulani, ila ili nifanye kitu cha uhakika na niwe na haki nacho itabidi nipate video halisi na si hizi za kupakua YouTube...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua ni app gani ya kudukua mawasiliano. Kuna mtu nimemwonya aache kumfuatilia huyo mtu wake atazimia bure,hataki nielewa.Anataka jua texts za kawaida, WhatsApp.
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Pinephone ni Moja ya simu ambayo hutumia mfumo endeshi wa Linux , simu hii hutengenezwa na kampuni ya pine64 huko Poland Kwa wale watu ambao wanapenda uhuru katika matumizi ya simu janja, basi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari, Naomba kujua utaratibu wa kufunga CCTV Camera kwenye nyumba ya familia pamoja na gharama zake. Nawasilisha.
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Natumai wote mko powa. Hakuna kitu nilikua nasubiri kwa hamu kama maboresho ya toleo la android 9 lililo kwenye simu yangu ya vivo Y11(1906). Hii simu niliipenda na kila kasoro za kwenye masimu...
5 Reactions
66 Replies
5K Views
Wakuu naomba ushauri ipi simu nzuri zaidi kati ya hizo, kwa kuwa nipo kwenye mpango wa kununua simu yenye specifications nzuri High processing power Ram at least 4gb or 6gb Memory at least...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari poleni na majukumu ya kazi katika kutafuta mkate wetu wa kila siku. Naenda straight to the point nimekuwa nikijifunza mtandaoni hususani education platforms Kama udemy,skillshare na...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Taarifa binafsi ni taarifa zozote zinazohusiana na Mtu na ambazo zinaweza kumtambulisha Mmiliki wa taarifa hizo. Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka...
2 Reactions
0 Replies
866 Views
Mwenye kujua simu ya Oppo f11 nikitaka kurecord call nafanyaje. Kwa simu zingine ukitaka kurecord oncoming na outgoing calls unapaona kwenye keyboard. Oppo f11 hapaonekani. Help pls
1 Reactions
3 Replies
751 Views
Nina simu ya button kila nikiweka line zinasoma Invalid sim,tatizo alija Anza muda.Kwa yeyote naomba msaada wa namna naweza kufix hili tatizo .
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wadau utofauti kati ya Tv ambayo ni smart android tv na smart tv tu nini Chief-Mkwawa
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Apple iPhone 12 Pro review (pocket-lint.com) Quick verdict The iPhone 12 Pro does all it can to warrant that Pro label. The screen is stunning, the camera capability professional...
0 Reactions
0 Replies
511 Views
Habari za muda huu simu yangu inakataa kubonyezeka hayo maandishi ya kuupdate ili nipate ios ya 14.7.1 nimesha connect na WI-FI. halafu kingine hizo mb 900 naona kama ndogo maana mm naios ya 14.6...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada jaman wapi naweza download series na movie kwa ubora wa kawaida na zenye mb chache ukiachana na netnaija na teregram
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom