Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za muda huu ndugu zangu mimi ni mwanafunzi wa chuo na kwasasa chuo tumefunga kwa muda wa miezi kama miwili katika pita zangu nikakutana hizi mambo natamani nijifunze skills kama 3 au 4 kwa...
1 Reactions
8 Replies
987 Views
Habari wanaJF, Nitangulize shukrani kwenu wana JamiiForums nimekuwa muuliza mkubwa kidogo coz nahitaji ufahamu Nilikuwa nahitaji kujuzwa ufanyaji wa kazi wa "Proccesor" katika "Computer" haswa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba kujua bei ya hii simu ya tecno Phantom X iliyozinduliwa hivi karibuni. Maelezo yake yamenivutia nikatamani kurudi TECNO family
2 Reactions
111 Replies
13K Views
Wakuu GBWhatsapp baada ya kuiupdate kwenda current version imekuja na matangazo yasiyoeleweka. Msaada wenu wenu njinsi ya kuondoa hivi vimatangazo maana nimejaribu kuondoa kamoja ila kakahamia juu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo katika safari ndefu ya kujifunza computer programming.Sasa hivi ninajifunza Fortran na c++.Fortran ni kifupi cha Formula Translation. Fortran ni language ambayo ni very powerful na...
6 Reactions
119 Replies
11K Views
Nilianzia kujifunza programming mwenyewe hapo dar. Nikapiga kazi online kwa miaka kadhaa (soma baadhi ya posts zangu). Leo asubuhi nimepata hii email.
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Mambo vip wakuu, nimekuwa nikifanya monetization kwa kutumia Facebook Audience Networks for a years baada ya kuwakimbia Google Admob, ila hizi Ishu za bidding zimenirudisha tena kwenye Google...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niaje wana Tech.. Kama miezi minne iliyopita nilikutana na hii Javascript Library Inertiajs Kidogo ni mpya, ila nikajaribu kuitumia kwa sababu kuu zifatazo Nilikua na upgrade Projects zangu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafadhali Jamani Simi yangu Ya Infinix smart 5 ukipiga au kupigiwa wakati wa kuongea haitoi sauti mpaka uweke loud speaker Mwenye kujua jinsi ya kutatua msaada tafadhali
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwemaa. Kitambo huku sijafika. Wengi najua mnatumia Rufus na tools nyingine kuandaa USB bootable kwa ajili ya windows installation na OS nyinginezo. Kuna wale wanapata usumbufu kutengeneza...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu salama? Naomba kujuzwa sifa na bei ya Simu tajwa. SAMSUNG GALAXY NOTE 20. Nitashukuru sana.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za mida hii wakuu?.... Kama jina la thread linavyojieleza hapo juu, ningependa moja kwa moja niende kwenye mada husika hasa iliyopelekea hadi mimi kuanzisha hii thread. Nina mdogo wangu...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Mamlaka ya Kudhibiti Michezo ya Video Nchini humo imesema Wachezaji wa Mitandaoni wenye umri chini ya miaka 18 wataruhusiwa kucheza kwa saa moja siku za Ijumaa, Wikiendi na Mapumziko Kumekuwepo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana JF, ngoja niende kwenye maada baada ya leo hii kuwa na event ya window 11 nilizania wataachia leo hii official ili tutumie ila niliposikia kuwa. Mpaka mwakani 2022 mwanzoni...
5 Reactions
103 Replies
10K Views
Kwa hakika hawa jamaa wanajipanga haswa. Chief-Mkwawa kcamp Na wengine wote.
2 Reactions
4 Replies
924 Views
Habarini wapendwa kama kichwa kilivyo jieleza ni mwaka Sasa tangu nitumie playstore Kama ninaishi marekani yaani nilichange location Sasa nashangazwa na Bei za apps katika ya TSH na USD. Tanzania...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Inatokea unakutana na posti ya maana tu tena kwenye page ya Mtu wa heshima, ila unapoenda upande wa comment unakutana na comment isiyohusiana kabisa na kilichopostiwa na mbaya zaidi ni comment ya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kampuni ya Vifaa vya Kielektroniki ya Samsung imesema imezifungia runinga za kisasa (Smart TV) ambazo ziliibwa kufuatia ghasia zilizotokea baada ya aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Jacob Zuma...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari wakuu kuna SAA moja nimeitafuta Sana online hasa AliExpress lakini sijaipata. Je? Wapi naweza ipata hasa Kwa wauzaji wa maduka dar es salaam? Kwa wale wenzangu wa online mnaweza nisaidia...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa ambaye atawahi kujibu hii post ndiye atakaye pata hiyo account. Ina siku 21. Kwa ambaye atapata hiyo account atoe feedback. Goodluck
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom