Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wataalam habari zenu. Naomba msaada wenu kama itawapendeza. Bila kufahamu nilifanya updates ya window 10 na kujikuta tayari imekuwa window 10 pro na sasa inaomba nifanye change of key. All...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kitu hicho Hatari sana ni wewe na spk yako ya bass na twita tu basi umepata mzk mkubwa OG kbs Bei 35,000 0766 102 710
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iko hivi wadau niliweka oda alie wiki ilopita ni oda ya simu ya simu toka kwa seller MI POCO, akaship mzigo kesho yake ila cha ajabu jana tar 11 na angalia nakuta mzigo umearrive destination...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Naombeni ushauri wataalamu... nina machaguo mawili nataka kununua Lg x boom sound system ya watts 950 au Lg home theatre ya watts 1000 kati ya option hizo mbili mnanishauri nichukuwe ipi kwa...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Wakuu naomba Kujuzwa namna ya kuifanya Video isio na muonekano mzurii basi nikaweza kuiongezea muonekano ukawa poaa. I mean kuongeza Pixel pasi na shakaa Sent from my SM-A125F using JamiiForums...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Nimejaribu kutafuta post ya kuelezea hii kitubila kwa bahati mbaya sijaipata, kwahiyo nami kwa kutumia kile nilichopata nimeona si mbaya nikashare nanyi jinsi gani unaweza...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mimi ni fundi ninayeanza(beginner) wa vifaa mbalmbal vya umeme hususa Ni cm sasa nimekutana na changamoto wakat nafungua monitor iliyoingiliwa maji ghafla ile mikanda inayoshika...
1 Reactions
0 Replies
377 Views
Inductor ni kifaa cha umeme ambacho kinahusisha mikunjo ya waya ambayo inajaribu kutumia faida iliyopo ya uhusiano uliyopo kati ya sumaku na umeme Hii hutokana na matokeo yanayosababishwa kupita...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau kwa anaefahamu nawezaje kupata kingamuzi cha cannal hapa Tz na gharama zake za malipo huwa ni shi ngap
1 Reactions
7 Replies
910 Views
Habari za muda jamani, Samahani kwa usumbufu. kuna email imeingia kwenye simu yangu, ni mtu amenitumia file limeandikwa contact.vcf, nimejaribu kulifungua hilo file naambiwa finished importing...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Samahan wakuu nilipendaa kuuliza nawezaje kuangalia majina ya watu waliochaguliwa kujiunga na diploma hasa ngazi za afya kwa mwaka wa masom 2021/2022
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji pc ila mm sio mzoefu sana wa pc naomba kwa wajuvi mpite hapa mnipe ushauri aina gani nzuri. Bajeti: 500k Ram: 8Gb Core: i5 Iwe na graphic card Hivo tu ndo navofahamu kwenye pc...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natumia. Samsung Galaxy Tab P1000 kwa muda sasa,mara nyingi na line ya airtel. Leo nilitoa line mara moja na kuweka si mu chaji. Niliporudishia line ndo msala ukaanza. Ikaandika ENTER SIM NETWORK...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Mbabe kaingia Tanzania #mi11ulra mwenye zooming 120X ni hatari balaaa anaweza kukaa ndani ya majai dakika zaidi ya 20.Leteni simu zenu kina naniii tupambanishe Sifa zake 𝙿𝚁𝙾𝙲𝙴𝚂𝚂𝙾𝚁 : 𝚂𝚗𝚊𝚙𝚍𝚛𝚊𝚐𝚘𝚗...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, wanaJF! Title imejitosheleza. Je, Kuna uwezekano? Kama upo ni kwa namna gani? Naomba kufahamishwa.
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu hii pc yangu kuna inaingiza chaji inaenza kaa hata muda mrefu alfu badae ikaandika not charging Kama leo ni siku ya pili inanigomea kuingiza chaji wakuu msaada tafadhari. Napia...
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Heshima kwenu wadau. Naomba kueleweshwa hiko kitu hapo juu je, kuna app inayoweza kutumika kwenye simu ikawa kama projector kwa kuangalia picha kwenye ukuta wakuu? Kama kuna anayefahamu naomba...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Anaejua application nzur ya kudownload movies nzuri za action pamoja na za series anisaidie
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naombeni msaada ndugu zangu,natumia samsung s6 edge plus,tatizo nililo nalo ni wakati wa kirekodi video huwa natamani audio iwe ina play lakini matokeo yake nikiplay audio Nikigusa video record...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Wadau wa jukwaa hili nimeleta kwenu tatizo hilo la deki inachagua sana format za kuplay hasa Mp4. Unaweza vipi kutatua tatizo hili?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom