Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu Kwema? Kuna TV funa nakaribia kuipata, mazingira yenyewe ni kua naipata TV tupu, sasa nimeicheki nimeiona kwenye Pots zake kuna One Connect, USB na Internet tu. Huu wa ONE CONNECT ndi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu kuna jamaa yangu Iphone 7 yake ameiflash sababu alikua amesahau apple ID after flashing imeanza kumsumbua akienda kwenye baadhi ya apps mfano WhatsApp,sms akitaka kutype kitu ina restart...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu Natafuta PS2 used. Kwa walioko Dodoma, tuwasiliane hapa
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Ninataka kufungu satellite dish mwenyewe. Ni la kampuni ya Zuku. Ninaomba muongozo nilielekezee upande gani ili nipate signal na pia step by step jinsi ya kusearch chaneli
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ya siku wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, natafuta high quality DAC (Digital to Analog Converter) kwa hapa Tz mkoa wowote. Yaweza kuwa mpya au used. Kimsingi iwe na output...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Samahani kama kichwa cha habari hakijatulia.Naomba mwongozo wa nini kifanyike au nimshauri rafiki yangu whatspp namba yake ime be hacked na aliyemhak sasa ana access magroup yote ambayo jamaa yupo...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu msaada tafadhari nataka Tena niumize kichwa na hili gemu.
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Jamani habarini wapendwa ni hivi juzi Kati hapo nilinunua multimeter aina ya siltron DT 9205A Sasa ninapashida wakati wakupima kiasi cha umeme kutokana na kwamba inaleta short pindi nianzapo...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Naomba kuuliza, huwa kuna Application za ki office ambazo huwa kama unafanya kazi hiz marketing Kama ukifika kwa client unatakiwa upige picha mara nyingi hua haikubali ku upload picha kwenye...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
Mimi sio mzoefu kwenye simu za iphone naitaji download movie msaada wa aplication nzuri au website
0 Reactions
6 Replies
4K Views
nipo mkoa wa Mara, nina shida moja, natumia sunder solar watt 100, bettry ya sunder N 100, INVETER ya Solar Max watt 150, pia nina flt tv inch 32 yenye watt 50, 110-240v,, nina blender watt 350...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Baada ya kushindwa kununua printshare premium apk . wadau naomba mwenye nayo anisaidie .au anisaidie jinsi ya kuipata
0 Reactions
1 Replies
626 Views
Habari wanaJF, naomba kama Luna mtu anaufahamu na Luanzari technical college iliyopo Tabora Mjini anijuze details zake.
1 Reactions
4 Replies
903 Views
Juzi nilienda madukani kuulizia tablet nikaambiwa hazipo mkoani ila nikitaka naagiziwa toka dar. pia nikaambiwa zipo brands za tecno Samsung. Sasa nikawa nauliza Sana kuhusu tecno wakiniambia...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Pegasus ni jina linalomaanisha Farasi Mwenye mbawa. Ambalo ni namna ya kuonesha kuwa software hiyo inafanya kazi kama Farasi wa Matrojan(Trojan Horse) lakini yeye anaweza kupaa. Software ya...
7 Reactions
19 Replies
4K Views
wakuu babari, nikipita kwenye maduka ya bongo ya electronics naona zimejaa subwoofer za mchina tu na hometheter za mchina na sio malysia wala japan. kwa sisi wanazi wa.mziki ningependa nipate...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Bila kuwashosha wakuu wangu naomba msaada wa namna ya kuwasiliana na wahudumu tajwa hapo juu.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimetumiwa update ya android version.yani nitoke 10 mpk 11.simu yangu ni samsung galaxy A20.naomba ushaur wadau ni update au niachane nayo kwanza?ina almost MB1728 hvi.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi, nina desktop aina ya dell nlipewa na mtu ila cha ajabu nimeiconnect na tower lakini nikiiwasha inaandika "no signal" afu inajizima yenyewe. Tatizo linaeza kua lipi, msaada...
1 Reactions
9 Replies
772 Views
Back
Top Bottom