Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

MKBHD kila siku ziendazo mbele anazidi kuyatimba. Juzi alikua ana review camera ya DJI Action 5 Pro akaonekana anaendesha Porsche zaidi ya 90 mph kwenye kibao cha School zone 35mph. Mashabiki...
3 Reactions
6 Replies
357 Views
Baada ya usalama wa taifa Canada kuifanyia tathmini App ya TikTok inayomilikiwa na kampuni ya kichina ya ByteDance wameiamuru kampuni hiyo kufunga ofisi zake Canada mara moja, app yenyewe...
6 Reactions
12 Replies
467 Views
Microsoft wameachia feature mpya kwa watumiaji wa windows 10 na windows 11 kuweza kuhamisha files lolote toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila waya, Unatumia mfumo wa wireless tu kuweza...
2 Reactions
13 Replies
746 Views
Wakuu naombeni msaada wa Best Telegram Book Bots ๐Ÿค–, kidgo nachemka apa
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Mwana YouTube wa zamani Jake Paul na bondia mashughuli Mike Tyson wamekua wakitishiana kitambo kuzichapa kuonyeshana mbabe nani toka July's 20 mwaka huu 2024 lakini pambano lilighailishwa...
2 Reactions
3 Replies
264 Views
๐—š๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—น๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐˜€๐—น๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜‚๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐Ÿ˜” Watu wa nne wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 32 waliweza kupoteza maisha kwenye jiji la Toronto nchi ya Italian Baada ya gari aina ya Tesla kuwaka moto baada...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu... nawaza niongeze printer ili process ya input na output ikamilike, naomba mnijuze ni ipi brand nzuri ya printer kwaajili ya matumizi madogo ya nyumbani.
2 Reactions
43 Replies
1K Views
Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki๐Ÿ™
2 Reactions
4 Replies
278 Views
Habari wana JF, Naomba kufahamishwa vizuri kuhusu hii kozi ya Bachelor of science in information system inayotolewa UDOM pale CIVE Ina deal na vitu gani hasa? Na je koding ipo sana kwenye hii...
1 Reactions
5 Replies
377 Views
Megabits vs. Megabytes: Understanding Your Internet Speed Ever wondered why your gigabit internet doesn't download games at a thousand megabytes per second? The difference between megabits (Mb)...
0 Reactions
2 Replies
316 Views
Computers 'to match human brains by 2030' Steve Connor February 24 2008 at 11:41AM Boston - Computer power will match the intelligence of human beings within the next 20 years...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Apple Iko karibu kuweza kutambulisha product yao mpya sokoni ambayo inaitwa wall- mounted display imeundwa kwa ajili ya kuweza ku control nyumba yako. Kifaa icho kimepewa jina la code name J490...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Wakuu habari, laptop yangu nikiwasha inaandika Operating system not found! TATIZO linaweza kuwa lipi na jinsi gani ya kufix Hilo TATIZO? NAOMBA KUWASILISHA
0 Reactions
7 Replies
274 Views
WanaJF, Poleni na majukumu. Kama mada inavyosomeka kwenye kichwa cha habari TV ya Hisense imeacha kuonyesha picha na ninahisi kwamba kama bulb zake zimeungua. Msaada tafadhali kwa mafundi...
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Kampuni ya meta imetoa ripoti inayoonyesha Kuna akaunti za watumiaji wengi wa Facebook ambao ni marehemu wamekufa ila bado akaunti zipo na zinafanya Kazi. Ripoti iyo inaonyesha zaidi ya watu...
3 Reactions
20 Replies
761 Views
Kuna kazi nimepata moja ya majukumu yangu ni kutuma sms ya shukrani kwa wateja wote kila siku waliokuja kupata huduma kwenye kampuni yetu, je app gani itanisaidia wakuu? Thanks in advance.
2 Reactions
9 Replies
617 Views
Hivi unajua unaweza kuongeza nafasi kwenye sd card (memory card) au flash drive kupitia kompyuta ๐Ÿ˜€!! Najua una shangaa relax ๐Ÿ˜ Kuna program Moja ukifanikiwa kuwa nayo inakupa Uwezo wa kuongeza...
7 Reactions
16 Replies
793 Views
Nchi ya Japan inakua taifa la kwanza duniani kuweza Kutuma satellite ya mbao inaitwa "Lighnosat" imeundwa na chuo cha Kyoto university wakishiliana na Sumitomo forestry, ISS kupitia roketi ya...
3 Reactions
5 Replies
318 Views
Nlikuwa natumia Google pixel 3, nikachukua iphone 14 pro max aloo , camera ya Google pixel bado ni balaa, Iphone camera yake inahitaji sana mwanga ili itoe picha nzuri ila google pixel ni hapo...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
๐—œ๐—ป๐—ณ๐—ถ๐—ป๐—ถ๐˜… ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐—ป๐—ท๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ณ๐—ฎ Kampuni ya infinix wakati tunaelekea mwisho wa mwaka 2024 wao wameamua kutuletea toleo jipya la simu ya infinix Hot50i series' simu za bei poa zikiwa na...
2 Reactions
12 Replies
732 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ