Hello Guys, hope mko pouwa. Leo nimeamua niwaelekeze namna nyepesi ya kuficha SMS kwa wale wachepukaji ili usije kamatwa
Of course kuchepuka ni kubaya, lakini natambua kuna wanaochepuka kwa...
𝗠𝗮𝗷𝗶𝘇𝗼 𝗸𝗮𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝘀𝗽𝗲𝗮𝗸𝗲𝗿 𝘇𝗮𝗸𝗲
Hatimaye mkurugenzi na muanzilishi wa media Efm na ETV nchini tanzania mfanyabiashara Majizzo amefanikiwa kupiga hatua kwa kuweza kuleta speaker zake nzuri 🔊...
Hivi unajua unaweza kuwasiliana na mpenzi wako kupitia ndoto yani mmelala wawili lakini inawapa nguvu ya kufanya mazungumzo kwa njia ya ndoto kupitia usingizi.
Wana sayansi kutoka marekani kwenye...
Wakuu kwema
Mimi kama software developer nimeona mjadala mkubwa huku kuhusu programmer wa kibongo kuwa bongo hakuna ma programmer hichi sio kitu cha kweli bana wapo tena. Wengi ni wewe tuu...
Mko poa kwenye jamii kuna changamoto nyingi sana zinabidi ziwe sort out kwa njia ya tech maana now tech inakua saana.
Sasa hapa kuna watu wa aina 2 mwenye uwezo wa kutengeneza mifumo ila hana...
Wadau kuna jamaa yangu ni mwalimu wa taaluma shule 'Z' nimeenda kumtembelea kazini kwake nkamkuta anakomaa kuingiza alama za Continous Assessment (CA) za wanafunzi wake wa kidato cha nne wapatao...
Habari zenu wana JamiiForums,
Niende kwenye mada moja kwa moja, unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni kwanini walifungia window phone?
Nakumbuka kuna kipindi nipo shule kuna ndugu yangu mmoja...
ChatGPT Evolves: Real-Time Web Access Transforms AI Interaction
(Change default search engine to ChatGPT search - Official.)
Introduction
Remember those times when asking ChatGPT a question...
𝗨𝗺𝗲𝗶𝗯𝗶𝘄𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼!!!
Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ??
Najua wengi hawajui hii ni...
China Imefungua hospitali ya kwanza yenye kutumia Maroboti
Teknolojia ya Akili mnemba (AI) Inazidi kushika kasi ulimwenguni, sasa teknolojia hii imepelekwa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya...
Salaam kwenu wote mnaopitia Uzi huu muda huu.
NAOMBA msaada ni vipi naweza kuinstall app kutoka google na websites zingine ukiachana na play store.
Maana nimejaribu Kila mbinu nimeishindwa Kila...
Kwa mara ya kwanza toka tanganyika na Zanzibar kuungana na kupatikana Tanzania Jana safari ya Kwanza ya treni ya umeme ya kisasa yenye kazi ya kusafirisha abiria ambayo inaitwa Electric multiple...
Baada ya JF kupotea kwa masaa 48 nilijikuta nikipita kwenye forum za wenzetu nikakutana na hii kutoka Nigeria nafikiri sio vibaya kushare na wenzangu:
The past two years I've had the chance to...
𝗨𝗺𝗲𝘀𝗮𝗵𝗮𝘂 𝗽𝗮𝘀𝘀𝘄𝗼𝗿𝗱 𝘆𝗮𝗸𝗼
Najua Kuna wakati unakuta umejiunga sehemu mbalimbali kwenye platform tofauti tofauti ukajikuta umesahau password zako ulizojiungia.
Kwaiyo ndo mpaka nifanye kazi ya...
Yaani taa zangu hata nikizima bado zinawaka kwa mbali
Huyo muingiza umeme alipokuwa anaweka umeme alisema fundi amekosea wiring ndio maana
Nimemuita huyo mpiga wiring mwenyewe anasema hakuna...
Habari ya muda huu wana jamvi la Jf?
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza ningependa kila mmoja aeleze ni Features gani zinamfanya apende smartphone kutokea kampuni hii,
Mimi kwa upande wangu...
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.
Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha...
𝗚𝗮𝗿𝗶 𝗹𝗮 𝗯𝗮𝘁𝗺𝗮𝗻 𝗹𝗶𝗻𝗮𝘂𝘇𝘄𝗮
Wale wapenzi wa movie ya Batman Dark knight kama kweli mfuatiliaji wa movie za mtaalam christian Bale Kuna gari Yale aliyokuwa anatumia inaitwa Tumbler batmobile.
Unaweza...
Ukiona umecomment mara Moja harafu ukaona umeletewa maneno ya English harafu juu upande wako wa kulia Kuna x au mkasi 😁
We bonyeza pale kwenye mkasi hiyo comment itakuwa imeshajiplace usirudie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.