How To Install Windows 11 On Unsupported Devices
Microsoft’s latest operating system, Windows 11, is now here, and while it comes with a long list of system requirements, it’s feasible to get...
Hello!
Msaada jamani waliowahi kufanikiwa na hizi remote jobs Huwa wanatuambia njia zipi maana Huwa naapply cjawahi pata na nasikia Kuna watu wanapata tupeane Siri angalau tupate kupata kipato...
Njia ya kwanza ni [emoji116][emoji116]
KUFANYA ACTIVATION WINDOW 10 NA WINDOW 11
Kompyuta Yako inadai activation? Umeshindwa kufanya Activation ya windows Kwenye kompyuta Yako ?
Usijali Leo...
Binafsi mimi ni mpenzi wa muziki mno ninataka kesho nichukue JBL au Anker. Ila nasikia wadau wa muziki wanasema Anker ni nzuri zaidi kuliko JBL. Je, kweli kwa mliowahi tumia hizi bidhaa...
𝗕𝘂𝗻𝗱𝘂𝗸𝗶 𝗵𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘂𝗹𝗶𝗺𝘄𝗲𝗻𝗴𝘂𝗻𝗶
Bunduki hatari ulimwenguni ni Ak 47 ambayo iligunduliwa miaka ya nyuma na mtu mmoja kutoka nchi ya urusi anaitwa Mikhail Kalashnikov.
Wanasema Uvumbuzi ni kitu kizuri...
𝗝𝗲 𝘂𝗺𝗲𝘁𝗮𝗽𝗲𝗹𝗶𝘄𝗮 ??
Hivi unajua Jeshi la polisi nchini Tanzania lina app yake yenye kukusaidia kupata taarifa mbalimbali kupitia simu yako kwa urahisi na inafanya kazi kwa asilimia 💯.
Tuko kwenye...
MUONGOZO WA PROGRAMMING NA UTEKELEZAJI WAKE KATIKA MAZINGIRA HARISI.
SOFTWARE ENGINEERING
Ni taaluma ambayo inatumia kanuni za uandisi (engineering principal) ku design, kutengeneza, kuboresha...
Habari wana JF,
Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo.
Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza...
Nina tv ambayo sio smart. Sasa kuna jamaa amenishawishi ninunue tv box ili niweze kupata access ya kustream movie na mechi kwa kupitia tv box kwenye tv yangu.
Je ubora wa hizo tv box upoje?
Vp...
Habari wadau
Natafuta simu zangu mbili zilizoibiwa . Polisi waliniahidi kuwa zitapatikana lakini sasa nakaribia mwaka
Ila niliambiwa wapo vijana wa IT wanauwezo wa kutrack simu na kuzipata.
Naomba...
Miaka ishirini imepita tangu kuachiliwa kwa GTA San Andreas, moja ya michezo inayopendwa na kuheshimiwa zaidi katika tasnia ya michezo ya kielektroniki. GTA San Andreas ilibadilisha standard ya...
Tukiwa tunasubiri ujio wa Toleo jipya la Samsung aina ya A57 5G ambao inaweza kupelekwa sokoni desemba 2024 mpaka January 2025.
Hii itakua A series ya kwanza kuleta ushindani dhidi ya "iphone...
Jana usiku, majira ya saa mbili hivi, nilikuwa mahali nikibadilishana mawazo na washkaji, lakini bila kutarajia, nilijikuta macho yangu yakielekea angani ambapo yaliona kitu kilichotafsiriwa...
Hellow watu wangu wa games.
kwawale wanao penda games tu share website mbali mbali za kucheza na ku dawnload PC GAMES
Naanza na hizi;
https://oceansofgamess.com/...
Habari wana JF,
Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo.
Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza...
Android ni mfumo endedhi unaotumiwa sana kwenye vifaa vya kielectronic kama vile simu za mkononi na vifaa vingine vya kielectronic .
Utengenezaji wa application za simu za android ni mchakato wa...
Natanguliza shukurani kwa msaada katika shida hii
Nawezaje kupata Sim Network Unlock Pin kwa simu ya Samsung, nikiwasha inakuja na pop up scree isemayo SIM unlock Network PIN, niki dismiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.