Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wataalam hebu fanyeni msaada... Inahitajika vifaa gani kuweza Ku launch digital TV channel...? Nazungumzia vifaa vya kifundi.... Complete set...
5 Reactions
9 Replies
458 Views
Hello bosses Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa...
29 Reactions
104 Replies
22K Views
  • Question Question
Habari ndugu zangu? Nisaidieni kujua ni simu gani nzuri kati ya Samsung S series na Note series na vipi kati ya S10+ na Note 10+ ipi ni nzui?
2 Reactions
7 Replies
808 Views
Tunafurahi kukualika uwe sehemu ya sherehe ya mwaka mmoja wa ukuaji wa SmartBusiness program ya usimamizi wa biashara ndogo na za kati (SMEs) kote Afrika. Katika webinar hii, utapata kusikia moja...
0 Reactions
2 Replies
246 Views
Bitcoin mining is a complex but rewarding process that helps to secure the Bitcoin network and create new Bitcoins. While the cost of mining has increased in recent years, it can still be a...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Mwaka mmoja uliopita, nilianzisha program ya SmartBusiness kwa lengo moja kuu: kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) barani Afrika kuboresha usimamizi biashara zao na kuwawezesha...
5 Reactions
14 Replies
630 Views
Waungwana, mada hapo juu yajieleza. Naomba msaada namna ya kulock baadhi ya chaneli katika king'amuzi cha Azam. Asanteni
1 Reactions
3 Replies
9K Views
Habari za jion waheshimiwe Nina mpango wa kununua hii laptop aina ya Asus vivobook 15 Core i3 gen 10th Nimeona inasifa nzuri na bajeti yangu inaendana Kuan mdau anaiuza Kwa 400K naona Iko powa...
1 Reactions
3 Replies
490 Views
Habari za Asubuhi wadau wa jukwaa hili ,ni kwamba nina uhitaji wa laptop kwa ajili ya kusomea kozi za OUT pamoja kutype document kadhaa na bajeti yangu ni 300K hadi 370K lakn katika kupita pita...
2 Reactions
4 Replies
323 Views
Habari za muda huu wanajamvi, naomba mwenye ufahamu mzuri na hawa jamaa wanajihita Digatal Regensys, wanajihusisha na digital online training especially upande wa data science and full stack...
0 Reactions
5 Replies
224 Views
Katika zama hizi za tehama ambapo uwezo wa kufikia maudhui kwa njia ya mtandao ni ya muhimu,Mifumo ya uhifadhi ufikiaji wa taarifa za wavuti ni mifumo muhimu sana.Mifumo hii huitwa Web...
2 Reactions
0 Replies
178 Views
Ni mwendelezo sasa mzuri sana Kwa CeX exchange au Centralized Exchange kama bybit kuwapa uhuru baadhi ya watumiaji wenye Imani zinazozingatia sharia fursa ya kuweza kutuma account zinazofuata...
2 Reactions
4 Replies
245 Views
Habari, External hard disk yangu niliichomeka kwenye TV moja hivi na kuitoa bila mpangilio, sasa kila nikiweka kwenye laptop inaandika Data Error Cyclic Redundancy Cheki. Au Sometimes inataka...
1 Reactions
9 Replies
445 Views
Yani roho inaniuma sana tangu wiki iliyopita napata shida ya kuingia mtandaoni bure dah! Nilikuwa nimeshazoea mseleleko japo internet yenyewe ilikuwa mwendo wa Kobe lkn ilinisevu sana kuingia...
7 Reactions
48 Replies
1K Views
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo. Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana. Sasa nimeokota pochi la...
30 Reactions
665 Replies
62K Views
Nilikua naomba kuuliza ni Vpn gani nzuri ambayo watu hutumia kupata free internet?
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Naomba kunisaidia kama kuna ntu anajua jinsi ya kusolve tatizo la internet kwenye simu mana natumia laini ya Tigo data inagoma kupanda, ila nkitumia wifi za watu inakubali
1 Reactions
4 Replies
163 Views
Nina wazo la kuanzisha social site lakini nakosa washirika wa ku push hili kwa pamoja na kufikia malengo.
2 Reactions
13 Replies
438 Views
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara...
17 Reactions
95 Replies
10K Views
Back
Top Bottom