Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu kwema? Mimi ni full stack developer nataka nitengeneze mobile app ili niweze kupata hela baada ya mda mfupi Naombeni mawazo yenu
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Nilipitia uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea" Ndipo...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama tangazo linavyojieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurushi cha 70k 10Mbps, router ninayo. Je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router!
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu msithubutu kufuatilizia wanaoelekeza kudial namba flan flan (code) kwa Mfano #33*0000# eti itakusaidia kufanya jambo flan kwenye simu yako. Ushuhuda. Julie kabla ya eid Al adhaa niliangalia...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
  • Question Question
Msaada jinsi ya kufungua game kwenye Ps2 kutoka kwenye flash unabonyeza batani gani na gani???
2 Reactions
0 Replies
218 Views
Wazee wa JF. Nakumbuka 2014 September, Tim Cook alipanda stejini na kutangaza simu mpya mbili, iPhone 6 na iPhone 6 Plus. iPhone 6 ilianzia $199 kwa 16 GB na 6 Plus ilianzia $299 kwa 16 GB...
2 Reactions
9 Replies
890 Views
Teknolojia hii ya utengenezaji wa screen za TV ilianzia zamani miaka ya 1950 lakini matumizi yake yameanza miaka ya 2010 kama zilivyo teknolojia nyingi ambazo huchukua miaka hadi kufanyiwa kazi...
10 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu.. Nahitaji kununua Flat Tv -32 inch .. ila naombeni ushauri wenu ni Tv ya kampuni gani ni nzuri kwa sasa kununua na ni vitu gani vya kuzingatia sana wakati na nunua . kwa...
3 Reactions
43 Replies
15K Views
Philips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
12 Reactions
46 Replies
1K Views
Leo nimeamka katika pita pita zangu za kusoma na kupata vitu vipya katika maswala ya akili mmnemba nikagundua kwamba kupitia ChatGPT sasa unaweza kuongea nayo na ikakujibu kila aina ya swala...
0 Reactions
8 Replies
408 Views
Hii ni balaaaa [emoji91][emoji91][emoji91] Call of duty modern warfare III Ni game mpya itakayoachiwa mwezi Septemba tarehe 10 mwaka huu, ni game inayojihusisha na upiganaji kwa mfumo wa mission...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta Software Ya Kuweza Kutrack Calls, sms,email Na Any Communicative Data Zinazoingia Kwenye Simu Ya Mtu Fulan. Nimeingia Play Store Na Kudowlod Kaadha Lakini Naona Ubabaishaji Tu So...
5 Reactions
31 Replies
16K Views
Wakuu mwenye kioo cha pixel 7 pro used au mpya nahitaji kununua. Anicheki kwa 0624373709
1 Reactions
3 Replies
321 Views
Habarini wadau wa Tech.. Naomba tushirikishane je ni site zipi za AI ambazo ni free kutumia, ambazo hauhitaji kulipia Asanteni
0 Reactions
6 Replies
264 Views
Wakuu wa Tech inakuaje....!? Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi...
2 Reactions
16 Replies
726 Views
Ndugu wana bodi, Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya ijumaa muda wa saa nane dakika ishirini za mchana nilipokea ujumbe kutoka airtel wakinishukuru kwa kutembelea duka lao huduma za kwa...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Ndugu zangu wapendwa husika na mada tajwa hapo juu. jana nimeibiwa spika ya soundba yangu. sasa najiuliza je dukani naweza nikaipata hii spika au ndo hivyo tena ?imepotea mpaka ninunue soundba...
0 Reactions
8 Replies
318 Views
As we approach 2025, we stand on the cusp of a transformative era in artificial intelligence. The emergence of AI agents promises to fundamentally alter our relationship with technology, evolving...
1 Reactions
1 Replies
343 Views
Habari wadau Naweza wapi ku sajili domain name ya .co.tz na inagharimu bei gani? Asanteni
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Nimedownload movie zenye 4K kwenye laptop ila nikirusha kwa flash inagoma licha ya flash kuwa na ukubwa wa 64gb. Naombeni muongozo Cc: Chief-Mkwawa
1 Reactions
8 Replies
278 Views
Back
Top Bottom