Wakuu, salaam
Kwa wataalaamu na wajuvi wa android radio za magari, ni brand gani ambayo ni the best in terms of durability and display quality?
N.B: Exclude Chinese brands! Hizi zinalalamikiwa...
Ipi ni tekinolojia nzuri kwako kulingana na factor hizi
1. perfomance
2. Hosting cost
3. Maintenance
Moderator edit tile inatumia node Jana mongo db...
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria...
Watu wengi wanalalamika speed ya kubrowse ni ndogo, hawezi kuangalia video online, wengine wakipiga viber japo speed kubwa lakini hawasikilizani, kuna wengine video chat na hata wacheza magame...
Habari Wakuu!
Nahitaji system ya kununua kwa ajili ya kutumia kwenye kampuni ya mkopo.
Ya kununua moja kwa moja sio kulipia kwa mwezi.Tuwasiliane basi PM iko wazi.
Habari za Asubuhi ndugu zangu,
Najaribu kulog in kwenye Gmail yangu ya zamani lakini sikubuki password na namba ya simu niliyo tumia zamani haipo Tena kwa hiyo nikiomba rest PIN NUMBER...
Wakuu nataka nifungue account huko sasa inagoma pale kwenye kutuma verification code, je, hapo nifanye ujanja gani wakuu?
Kama kuna mtaalam msaada please.
We are looking for a software developer and a data engineer who can perform the following functions
*Design and implemented ETL pipelines for processing low-resource language data(Yoruba)
●...
Flutterwave is a payment technology company that provides payment infrastructure and technology to enable businesses to accept payments from customers all over the world. The company was founded...
Airtel kuna kitu wanaendelea kuwafanyia Wateja wao kwenye hizi router zao za 5G siyo kizuri.
Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi...
ENDAPO ikitokea kampuni, mtu au taasisi yoyote duniani itayobuni kifaa cha mkononi mfano na simu(phones) (Smartphones) kitachokuwa na uwezo wa kutumika Katika mambo ya internet tu Bila kusupport...
Habari. Nina wazo la biashara inahusisha zaidi kugawa huduma ya internet kwa wananchi kwa ghalama nafuu. Hii itawagusa wote wa chini na wafanya biashara.
Nahitaji mtu mwenye mtaji na uzoefu katika...
Je, umewahi kusearch vitu Mtandaoni ambavyo hupendi mwingine akishika simu yako aone ? Mfano Ukaingia google kwenye website fulani au taarifa fulani alafu taarifa zako zikabaki hapo (search...
Habari ndugu zangu, kuna desktop niniatumia tatizo haitaki ku print nimebadili windows na os hadi linux, nimeweka kila driver ila inagoma ku print printa yoyote ile.
Printer mpaka inatambuliwa na...
Habari wajameni,
Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee.
Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa...
Habari wapenzi wasomaji! Leo nataka kuongea nanyi kuhusu mgomo unaoendelea kwenye Reddit na API yake.
Kama mnajua, Reddit ni moja ya mitandao maarufu zaidi ya kijamii ambapo watu wanaweza...
http://www.vidmate.mobi/landing?p=MTc1OTk2MzIw Top 10 Upcoming PC Games of 2016 | HD | The top video downloader, Vidmate! Highly recommend! Click to get your favorite videos!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.