Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

E-SIM ni teknolojia inayomsaidia mtumiaji wa simu kwa na laini zaidi ya moja kwenye simu hata kama simu hiyo inakisehemu kimoja tu cha kuweka laini. Vitu vya kuzingatia ili kuweza kupata huduma...
7 Reactions
65 Replies
9K Views
Wakuu kama kuna mtu anatumia Python anisaidie script ya code ambazo zinaweza kutengeneza namba na herufi ila kwa mfumo fulani; Kwa mfano '6XWE217 ' '6WTY54' Mimi ndiyo...
1 Reactions
9 Replies
320 Views
Wakuu bila kupoteza muda, Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera. Haina ubishi, hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa...
49 Reactions
4K Replies
399K Views
Wataalam wa IT nisaidieni nimefungiwa mita ya luku hii imefungwa juu ya paa la nyumba kwenye kinguzo cha nyaya ya umeme. Halafu mimi nikapewa rimoti ambayo natakiwa niingize token na ndipo...
4 Reactions
82 Replies
159K Views
Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
kichwa cha habari kinajielezea labda kwa faida ya ambao hawajaelewa ni hivi.. Nawezaje ku access miziki ya simu yangu hata kama nikiwa mbali na simu yangu..? Yaani hata kama simu ipo mbali...
0 Reactions
6 Replies
756 Views
Kwa wataalam sinu tajwa hapo juu siwezi ingia menu ya huduma mtandao husika mfano mpesa huduma za voda inaandika error na inakubali kuangalia salio pekee
0 Reactions
2 Replies
244 Views
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya...
10 Reactions
114 Replies
12K Views
Huyu ni Computer engineer, hapa anafanya wiring mwaka 1947 safari ya wazungu katika suala la Tech wametoka mbali sana
9 Reactions
6 Replies
359 Views
Kwa wale wanaomiliki google play console. Google play console ni account wanazomiliki watu wanaoweka apps zao playstore. Kwa sasa kama una google play console ambayo ina zaidi ya mwaka mmoja tokea...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Title: "Artificial Intelligence Index Report 2024" by The AI Index Steering Committee, Institute for Human-Centered AI, Stanford University Year of Publication: 2024 The Artificial Intelligence...
2 Reactions
0 Replies
198 Views
Habari wakuu, nimepata changamoto baada ya kuinstall whatsapp kutoka playstore. Na ni official application ila inaniandikia hivi. Sasa wakuu naombeni msaada wenu. Na hata nikienda kwenye hiyo...
1 Reactions
8 Replies
415 Views
Kuna vile vi spy voice recorder vidogo vidogo unaweza ukakaweka ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu ili unase anayoongea.Si kwa ubaya nauliza tu hapa dar naweza kuvipata sehemu gani?
3 Reactions
21 Replies
936 Views
Nna swali kidogo. Kwa mwaka huu mfano 2024, ukawa una Million 1 tu ya kutumia kununua simu. Ni bora kununua hizi simu za uwezo wa kati (mid-rangers) mfano Samsung Galaxy A55 mpya kabisa…au ni...
8 Reactions
43 Replies
1K Views
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi. Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuuu habari zenu pc yangu aina ya hp haidisplay lkn kitufe cha kuwashiwa imewaka.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Nini chanzo cha tatizo flat tv kudisplay mistari ya rangi ya horizontal! Nini kifanyike ili kuiondoa? Naomba ufafanuzi tafadhali!
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu. Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#) JE NIFANYEJE?
1 Reactions
2 Replies
157 Views
Msaada: Jinsi ya kupata namba za simu nilizowahi ku save kwenye phonebook yangu kwa njia ya facebook
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom